Ukweli kuhusu maisha ya India

Ukweli kuhusu maisha ya India

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,653
Hello guys

Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.

Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.

Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:

1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo

Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu
 
Hello guys

Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.

Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.

Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:

1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo

Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu
Huko south india ndio kuna chennai?
 
Nasikia criminal rate kwa maana ya ubakaji wapo juu sana huko.
ama ndio kusema wanabana hivyo vipochi nyoya mpaka wanabakwa?


Ni kweli,kwa india ubakaji ni issue inayotatiza, mwanaume tangu anazaliwa hajawahi ona *K* hlf kutwa anaangalia pono, ataachaje kubaka, wahindi wengi huonja *k* kwa mara ya kwanza baada ya kuoa, hapo ukute mtu ana miaka 28, nahic ndo maana wanazaliana sana ras jeff kapita
 
Mwaka 2007 kuna intern mmoja demu toka India bomba kama wale wa kny movie zao alikuja hospital moja ya rufaa na wenzake wake kwa waume kama 9 hivi,sasa walikuwa na tabia ya kutembea wote kila mahali, nikamlia timing Siku ya jumapili akiwa call nikatest zali kuwa baada ya mda wa kazi twende kutembea nje ya mji akasema tuongozane na wenzake au wawili tuu..nikamjibu yeye aonavyo,basi akaniambia ngoja akaongee na wenzake kama watajisikia kwenda then tutaenda wote...mda ukafika akajakuniambia kuwa wenzake hakuwakuta kny room zao hivyo tunaweza kwenda tu...mwanangu unaambiwa Siku ile matembezi yaliishia chumbani kwangu...mambo yakaendelea hadi waliporudi kwao India.
 
Mwaka 2007 kuna intern mmoja demu toka India bomba kama wale wa kny movie zao alikuja hospital moja ya rufaa na wenzake wake kwa waume kama 9 hivi,sasa walikuwa na tabia ya kutembea wote kila mahali, nikamlia timing Siku ya jumapili akiwa call nikatest zali kuwa baada ya mda wa kazi twende kutembea nje ya mji akasema tuongozane na wenzake au wawili tuu..nikamjibu yeye aonavyo,basi akaniambia ngoja akaongee na wenzake kama watajisikia kwenda then tutaenda wote...mda ukafika akajakuniambia kuwa wenzake hakuwakuta kny room zao hivyo tunaweza kwenda tu...mwanangu unaambiwa Siku ile matembezi yaliishia chumbani kwangu...mambo yakaendelea hadi waliporudi kwao India.
Story hii
 
Mwaka 2007 kuna intern mmoja demu toka India bomba kama wale wa kny movie zao alikuja hospital moja ya rufaa na wenzake wake kwa waume kama 9 hivi,sasa walikuwa na tabia ya kutembea wote kila mahali, nikamlia timing Siku ya jumapili akiwa call nikatest zali kuwa baada ya mda wa kazi twende kutembea nje ya mji akasema tuongozane na wenzake au wawili tuu..nikamjibu yeye aonavyo,basi akaniambia ngoja akaongee na wenzake kama watajisikia kwenda then tutaenda wote...mda ukafika akajakuniambia kuwa wenzake hakuwakuta kny room zao hivyo tunaweza kwenda tu...mwanangu unaambiwa Siku ile matembezi yaliishia chumbani kwangu...mambo yakaendelea hadi waliporudi kwao India.


hukumuomba tigo mkuu wilbald
 
yeah, ni kweli..tena mara nyingi fAMILIA ya mwanawake hutoa pesa nyingi sana kwa familia ya mwanaume kama mahari, though itategemea makubaliano baina ya familia pamoja na caste shayrose
Duh hatar sana.sasa nani anaiendesha familia baada ya ndoa ni mke au mume
 
Back
Top Bottom