okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,653
Hello guys
Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.
Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.
Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:
1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo
Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu
Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.
Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.
Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:
1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo
Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu