Sdebaseboy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 792
- 257
Mbona sasa unazungusha sana maada...?! Hiyo ndo mistari? Hapa nilikuwa nimeshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuanda nondo ili cku nikimtokea demu nisikose ya kumwambia. Sasa mmh..!!mkuu its very easy to have beautiful girls like what you think.
swissme
hahahaha .je unataka demu unayemjua au ndio mara ya kwanza kuonana nae.Mbona sasa unazungusha sana maada...?! Hiyo ndo mistari? Hapa nilikuwa nimeshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuanda nondo ili cku nikimtokea demu nisikose ya kumwambia. Sasa mmh..!!
Haiitaji Degree kujua wewe ni Master katika kutongozaHuihitaji kutongoza eye contact is the thing,yaache macho yako yaongee
Your Genius dude
Teh!kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Teh! Teh! Teh! Umekutana na mengi mkuu. Teh!Yani mitongozo ingine ni kujishushia heshima tu
Kuna boya mwingine nae nlimkuta kwenye ofisi moja eeh tumesalimiana ana Pete ya ndoa akasema anakuja kunihudumia kurudi kavua Pete kabaki na alama sijui Pete alivaa kabla ya uhuru..... Nilimuona bolizozo kweli mxyuuuu
Maneno humtoa nyoka pangoni mseeha ha kama hamna neno pesa.. hamna neno ntakununulia hik...
teh labda miujiza ya mungu akukubaliee...
We ukimwona mwonyeshe hela tu mpe atm card yako na passwordNimekuwa nikifuatilia thread nyingi zinazoponda wanaume wa siku hizi kuwa hawajui kutongoza. ..
Nikashangaa sana.... sasa kama wanaume hawajui kutongoza inakuwaje wanawapata wanawake.
challenge nnayoleta jamvini kama kweli kuna mafundi wa kutongoza wamewahi kuwatongoza ....embu weka humu hiyo mitongozo inayoweza shinda tuzo za Grammy ili vijana wa jifunze. ..
nitahitimisha kuwa mlikuwa mnazoza tu baadae.
Kwa vyote vyote its okey...hahahaha .je unataka demu unayemjua au ndio mara ya kwanza kuonana nae.
swissme
Ahahahahaha unapeeeenda kusifiwa enhee.Ila kusema ukweli ni raha sana kutongozwa na mtu anaejua kutongoza yani unatamani asichoke awe anaendelea tu kukutongoza kila siku
Sana yani hata kama ulikuwa unamzimiaga unaghairi..... Au yule wa sisi wote wakubwa twende ukanipe basikuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Sio kusifiwa tu yale maneno matamu yana raha yake.... Yani asipokutafuta mtu unakonda kwa mawazoAhahahahaha unapeeeenda kusifiwa enhee.