Mkuu Mabwawa Nayo Yana Mikondo Ya Maji?.Duu mbona hii ya leo nimeiweka vizuri sana? Nilichoandika ni kuweka mitazamo yote kukidhi mahitaji ya kila mmoja wetu
Anyway ni ngumu kuacha kunywa pombe kama ulishazoea kunywa
Ila Aina Hii Ya Samaki Hupatikana Zaidi Kwenye Maziwa Na Baharini. Sijawahi Kupata Taarifa Za Uwepo Wao Katika Mabwawa Na Mito.
Ukiangalia hapo nimezungumzia dhana tatuMkuu Mabwawa Nayo Yana Mikondo Ya Maji?.
Mi Nilishashuhudia Mtu Aliyepotelea Bwawani Kwa Siku Mbili, Watu Wanapiga Mbizi Siku Zote Hizi Lakini Hapatikani. Siku Ya Tatu Akapatikana Lakini Taarifa Ya Hospitali Ilisema Hakuna Maji Aliyokunywa Ingawa Alizama Bwawani. Hili Sijui Unalizungumziaje?
ngoja mshana kama atakubali au atakataaSidhani kama taratibu za JF zinaruhusu
Chunusi Wa lyandembela?Aisee huyu chunus alishawahi kuuwa mwanafunz ifunda tech
[emoji15] [emoji15] [emoji15] huyo huyo nimeikuta hyo stor tech paleChunusi Wa lyandembela?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Mshana eeee,
We muha-(ya) acha ulozi wewe yote haya uliyajuaje?
Kila uganga we umo tu, au ndiye .......wa jamii forum????
Makanya?????Eeehee Baba Wewe utaacha Uchawi lini Baba angu
Ndo huyo Bwana Rest in peace current mwenyewe?View attachment 413571rest in peace current [emoji24] [emoji24] [emoji24]