Dhana ya urefu na ufupi wa mtu juu ya Udyudyu wake nafikiri iko kimakosa sababu kuna watu wana miili mikubwa na maumbile madogo na kuna watu wana miili midogo ila maumbile yako vyema kabisa, swala la maumbile ni jambo la kibinafsi sana.....
hahahahaha zungumza nae vizur tu, hata yey anajua kabxa yanayojiri labda anajizma data tu, akiolewa hapo kikubwa ni sex kwenye ndoa bila hvo ndoa hamna. NO NDOA, NO SEX
kama ulikua na mtambo na baadae ukawa na kamtambo, hapo ndo tutasema kibamia.
ila kama umezaliwa na umbile hilohlo tafta saiv yako ya mto uogelee kwa kujidai