Ukweli kuhusu "Kaskazini kuendelezwa na Wanakaskazini"

Una matatizo si bure

Kawawa alikuwa wapi asipeleke maendeleo?

Je Pinda alikuwa wapi?
Kawawa alikua enzi za Nyerere, enzi hizo hakukua na ukanda, ndio maana Nyerere amekaa ikulu miaka 24 ameondoka musoma hakuna uwanja wa ndege wa kueleweka wala, umeme uko musoma mjini tu na hakuna hata chuo kimoja.

Pinda kajenga uwanja mkubwa sana wa ndege mpanda,kaupa mkoa wa katavi nk.
 
Kawawa alikua enzi za Nyerere, enzi hizo hakukua na ukanda, ndio maana Nyerere amekaa ikulu miaka 24 ameondoka musoma hakuna uwanja wa ndege wa kueleweka wala, umeme uko musoma mjini tu na hakuna hata chuo kimoja.

Pinda kajenga uwanja mkubwa sana wa ndege mpanda,kaupa mkoa wa katavi nk.
Sasa kama Pinda alifanya hivyo kwanini uwaseme wa kaskazini?

Halafu unaweza kuthibitisha huo ukanda uliopo hivi sasa?
 
images

International School Moshi
maxresdefault.jpg

Wakuu hii ni Shule.
 
Sometimes nasema acha Magufuri ashift the york to lake zoners nao wafaidi mema ya nchi hii baada ya miaka mingi.

Miaka nenda rudi northerners wameinflitrate umafia wao serikalini na kua na nguvu ya ushawishi sehemu muhimu za uchumi wa nchi hivyo kasikazini ikawa inapendelewa katka kila kitu, kuanzia wakati waziri mkuu akiwa msuya akapeleka umeme huko kwao milimani na porini hata hakuna watu, akaja sumaye, Lowassa nk.

Ukija kwa mawaziri wa fedha kina mramba ambao walijaza wakaskazini BOT, TRA, wizara ya fedha kwa kigezo kua wao tu ndio wamesoma mambo ya biashara.

Nimeshangaa watu wanamshambulia Magu kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa chato ila wakasahau ya kina msuya kupelekea nyani umeme miaka hiyo huko milimani, Kwenye rasilimali za nchi hii lake zone ni tajiri kuliko kasikazini.

1.)Hivi kuajiriwa BOT na TRA ndio kuendeleza ukanda wa ulikotoka? Inawezekana kweli Mtumishi wa BOT au TRA akajenga Barabara, Shule, Hospital, Uwanja wa Ndege, Umeme, Nyumba Bora za kuishi, Usafiri wa Magari binafsi na Huduma ya maji kwao? Atakuwa analipwa shilingi ngapi huyo mtumishi? Mtumishi wa BOT na TRA anaweza akamzidi kipato mtumishi wa UN, IMF na WB? Hapa kusema ukweli wachaga wanaonewa. Huko BOT na TRA kuna Wapemba, wamakonde, wasukuma, wahaya yaani makabila yote. Kulikoni kwao hakushambuliwi kimaendeleo?

2.) Kiongozi akitoka eneo lako mtapata faida gani wananchi wa huko? Niwarushe roho hadi mbaki na maneno yenu ya Wachaga WEZI na Wanawake wao wanaua!

Maji----Kaskazini hasa Mkoa wa Kilimanjaro wilaya za HAI, SIHA, MOSHI Vijijini na Rombo yapo ya kutosha tena unachagua utumie ya Bomba zilizowekwa na Wamisionary wa Kijerumani wakaipa serikali iangalie- toka Losaa to KIA, BOMA, MERARANI, RUNDUAGAI na kila nyumba kijijini. au ya Mto, au chemchemi au ya Mfereji. Sidhani hapa kama Kaskazini wanahitaji Kiongozi wa kuwaletea Maji. Labda tu mabadiliko ya tabia ya nchi yamechangia kupungua hasa wakati wa Kiangazi. Mchaga hanywi maji ya Visima na Wanyama! Asante Mungu yanatoka huko Mlimani!

Elimu----Shule za kumwaga hadi English Medium za Vidudu, Msingi na Secondary Vijijini!. Refer Modio Islamic English Medium School iko kijijijni lakini Elimu Super. Shule zilizojengwa na Misionnaries, Wananchi, serikali na Masjid. Unachagua shule ya kwenda zenye madawati, madarasa, vitabu na viti. Tena wanafunzi wanapata Lunch na chai shuleni. Waalimu wa kutosha.

Historia: Elimu Kaskazini

Kaskazini ni maeneo ya mwanzo ambayo Wamisionari wa Ukristo walijenga MAKANISA na SHULE. Sababu hii iliwafanya Northernes kuwa wengi zaidi walio na elimu ya kisasa na mikoa wa Kaskazini inaongoza kwa idadi ya shule za sekondari nchini Tanzania. Shule nyingi za sekondari ziko katika mikoa hii kwa sababu zifuatazo: 1) Hali ya hewa na vivutio vya kitalii katika mkoa huu viliwavutia zaidi walowezi na wakoloni na kuweka makazi yao hapo. Hivyo wamisionari walijenga shule za kwanza wakifuatiliwa na serikali za wakoloni 2) Serikali ya Tanzania ilirithi shule zilizojengwa na wakoloni 3) Watu wa Kaskazini waliobahatika kupata fedha binafsi baadaye waliwekeza kwenye ujenzi wa shule binafsi kama kitega-uchumi, wakati wakazi wa mikoa mingine kadhaa walisubiri serikali iwajengee shule.Ni vema pia kusema kuwa shule hizo huvutia wanafunzi kutoka Tanzania nzima, haziwasomeshi tu Northerners.

Barabara---- Kwa Interest za Wakoloni ilikuwa lazima wajenge barabara ya kuunganisha mikoa ya kaskazini na Kenya. Hivyo ni rahisi kutoka Moshi, Arusha kwenda Kenya kwa barabara ya lami. Kihistoria Arusha in Makao makuu ya East Afrika tangu 1967 haikuwa busara kujenga barabara hapo? Arusha kuna vivutio vya Kimataifa vya Kitalii from wanyama, Rift Valley, Crater, Oldvai, Wamasai na Culture yao. Mkoa unaingiza pesa tena ya Dolars, EURO na Pound. Tukirudi Moshi mnapopaonea Wivu: Kwa juhudi za wananchi kupaza sauti zao na kudai zimepatikana. Marangu to Moshi iliwekwa na wakoloni, Machame to Moshi, Siha to Moshi, Moshi to Uru, Kibosho to Moshi hawa watu hawawezi kumsahau Mrema aliwapigania ikapatikana. Moshi to Holili - hii lazima inaenda mpakani na Kenya. Moshi to Tarakea Lazima iwepo kuunganisha nchi na Kenya. Huko Upareni sijastudy sana za huko. Kijijini wananchi wana siku zao maalum ya kufanya kazi za jamii kwa pamoja bila kushuritishwa: kujenga barabara za ndani, kujenga shule. Kule watu wamejitune wanawajibika.
Hospital----Za kutosha hadi ya Rufaa nyingi zilijengwa na Missionaries. Ila ile ya TB ya Kibong’oto iliyokuwa inachukua wagonjwa wote wa TB Tanzania sina hakika nani walijenga.
Usafiri wa Ndege, Treni---- Asante Serikali, Asante Wazungu. Unachagua unataka kusafiri kwa njia ipi( Ndege, barabara au Treni).
Umeme---------- hadi mabanda ya kuku na nguruwe pesa yako tu ya kuvuta ndani. Hata huko katikati ya Kahawa na Migomba.

Baada ya kupata hizi huduma za jamii Wananchi wa Kaskazini wakatumia fursa hizi kusomesha watoto wao kwa hali na mali, wakajihusisha na kilimo na Ufugaji - Kilichopatikana wakajenga nyumba nzuri za matofali na bati katikati ya migomba yao na kahawa ikawa rahisi kwao kupatiwa umeme vijijini haraka kabla ya REA. Kumbuka umeme unahitaji nyumba bora siyo ya nyasi na tope. Waliotoka wakaendeleza ndugu zao kielimu na kibiashara huku wakiwafundisha kurudi kwao kwenda kujenga nyumba ya tofali ili siku matatizo ya kifo au furaha kama harusi wasipate aibu. Natamani kama nyie Chaga Haters mngeweza kusafiri muende eneo linaitwa Nronga' ni kwenye mwinuko lakini kuna nyumba nzuri utadhani umetua Ulaya'. Huko hakuna Mtumishi wa BOT wala TRA ni kwa wakulima wachakarikaji. Kuna hadi Kiwanda cha Kusindika Product za Maziwa- Juhudi za kina mama wajasiriamali na wafugaji. Hata Northerners wasipokuwa na mtetezi serikalini kwao kutazidi kuendelea. Mpika Chips wa Dar es salaam Mnorthener akikupeleka kwao December utashangaa maendeleo aliyopeleka kwao. hata wale washona viatu, makondakta na madereva wanaojitambua from Northern wanawazidi kimaendeleo wana Mentality ya maendeleo siyo Kubebwa.

Hata hivyo mkumbuke Raslimali za watanzania ni zetu wote. Kama nyie mlishindwa Kuendeleza kwenu kwa Juhudi zenu msinyime watu wengine eti walipendelewa. Nyerere hakuwa Northerner, alitoa fursa kwa watu wote, Northerner- Ingekuwa hivyo Leo Mara na Mwanza kusingekuwa na nyumba za nyasi kungekuwa kama New York.
 
Nimekubali uchambuzi wako lakn hapo ulipowashambulia watu kwa dini yao ndio umeonyesha kua ni mpuuzi wa kiwango cha lami maana hao wanaolalamika Kaskazini kupendelewa sio waislam tu bali wapo wanadini nyingine wengi kutoka mikoa mbalimbali wanaolialia na sio waislam
 
Umefafanua vizuri ila Kleruu College (Chuo cha Elimu) kipo mkoani Iringa sio Kilimanjaro.
Nimeshaeleza kuwa Kleruu ilianza kujengwa MS kisha serikali ikaamua kuipeleka Iringa ili kubalance maendeleo ya miji midogo.
 
Kama mkuu alivyo elezea kupitia tafiti yake... Mimi ni mkazi wa kaskazini na ofcoz nimetembelea mikoa mingi nchini mikoa ya pwani na kanda ya ziwa tofauti ya IQ za watu wa mikoa hii ukilinganisha na kaskazini kiujumla.. Watu wa mikoa iyo upenda kuridhika wanaridhika na hata maendeleo kidogo bt northern we didn't.. Alaf Mikoa ya Arusha na moshi ofcoz Arusha tuna infraction na wakenya so many ideas of life we share mfano kama mm ni mmasai bt ninandugu zangu wanaishi Kenya na kule ni wazawa wa uko so watu wengi wa kaskazini wana ndugu na wakenya dat why we share some ideas to use our brain to make a better day...
Mkuu mwenye jirani zangu pale Moshi wamejenga mijumba ya maana sasa na mimi wakat nnasoma nikawa natamani nifanikiwe ili niwajengee wazee wangu kama hao majirani zangu baadhi waliokua wanafanya kazi Ikulu na TRA,sasa nimemaliza elimu yangu na nimeajiriwa na tayar nimeanza mchakato wakuweka heshma kijijini kwakuangusha mjengo,ila huko ktk mikoa ya walalamishi badala yakuwa na wivu wa maendeleo wangeshawaroga majirani zao...Hiyo ndio tofauti kubwa kati yetu wakaskaz na hao wa mikoa mingine
 
"Mikoa ya Kaskazini iliendelezwa kwa juhudi ya Wanakaskazini"

Huo ni Ukweli unaoleta furaha kwa Wanakaskazini na Maumivu kwa wana mikoa mingine.

Nitaelezea kwa Ushahidi ulio wazi kabisaaa!

Kwanza msingi wa maendeleo ni ELIMU NA MAARIFA.

Ni wazi kuwa mikoa/makabila yenye wasomi wengi ni ile iliyowapokea wamissionary mapema na kuwakabidhi Ardhi. Katika hiyo ardhi kila walipojenga Kanisa basi walijenga na shule au hospitali nzuri.

Mikoa hiyo ni Kilimanjaro, Arusha, Kagera na Mbeya. Hiyo ilitokea hasa katika miaka ya 1885 - 1900

SASA TUKIACHA ERA HIYO:

Wananchi binafsi wa Arusha na Kilimanjaro wana spirit na asili ya utafutaji wa elimu na mali na Maendeleo kwa juhudi sana (Hustles indeed)

Mifano ifuatayo inathibitisha hayo:-

1) KUJALI ELIMU

Kufikia uhuru wa Tanzania, tayari Kilimanjaro ilikuwa na shule (Kongwe) zenye sekondari kabisa zaidi ya 38 na vyuo baadhi Shule hizo ni kama lyamungo, Majengo, Kleruu College, MUCCOBS, Marangu TC n.k

Hizo zilijengwa kwa juhudi ya Wazazi na chama kahawa KNCU

Arusha kulikuwa tayari na shule zilizojengwa kwa Juhudi za wazazi kama Moringe Sokoine, Mringa Middle School, Monduli TC (ingawa pia serikali iliweka nguvu), Arusha Sec.school, Ilboru Sec. School iliyojengwa pamoja na kanisa la KKKT mwaka 1904

Kwa kuwajuza zaidi Ilboru sec.school na kanisa la Ilboru zilijengwa na wanawake (wamama wa kimasai) kutoka Kimandolu, Levolosi na Ilboru yenyewe, na ushahidi upo.

Pia Chama cha kahawa ARCU ilichangia sana maendeleo ya Arusha.

- Miji midogo wakati huo kama Monduli, Marangu, Machame, Ilboru na Akheri zilijengwa na juhudi ya wazee wa huko.

* Mfano tu, Monduli iliamuliwa kuwa mji mahali ilipo na Wazee wachache wa monduli akiwepo Sokoine.

Can you imagine mwaka 1970 tayari Sokoine alishaanzisha jengo kubwa kuwa Halmashauri ya Monduli kabla hata serikali haijaamua halmashauri iwe wapi.

Kina Lowassa na wengine walikuja tu kuendeleza zaidi.

* Kwa Upande wa Kilimanjaro, hasa Marangu akina Mareale walikuwa Mbali tu kiasi cha kuweza kujiongoza bila serikali ya JMT.

Mji wa Moshi ulikuwa mbaali kimaendeleo siku nyingi.

2) UHUSIANO WA KARIBU WA WANAKASKAZINI

Kingine kilichoiendeleza Kaskazini ni Interaction ya kuoana watu wa Kilimanjaro na wenyeji wa Arusha mjini, kwani wali utilize ardhi vizuri kuanzia enzi na enzi.

(Hata leo hii ukichunguza utagundua watoto wengi wa familia hizo ndio wamejaa serikalini, kwenye migodi ya madini, biashara n.k)

3) KUTOKUTEKWA NA USHIRIKINA

Wanakaskazini hawana asili ya "Ushirikina" na ukisikia mchaga, mmasai ama mwarusha analoga basi ujue amenunua uchawi.

Hakuna uchawi wa kutumia paka, Jini au Vifuu bila faida yoyote.

Mikoa kama Tabora chini ya machifu wao walipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo kama alivyofanya chief fundikira (wajomba wa Samwel Sitta) na matunda yanaonekana hadi kuwasomesha akina Samwel Sitta (Hayati)

Mikoa mingine imekuja kuamshwa na hizi shule za kata, halafu inalialia kuwa Kaskazini inapendelewa.

Wengine Dini zao ziliwanyima Fursa ya kuishika Elimu dunia leo wanalialia na kuikumbatia elimu dunia.

Kumbukeni...Azimio la Arusha likija Arusha tyr Arusha ilikuwa na majengo makubwa na shule za kuwatosha watoto wa Chuga.

Someni Historia, Fanyeni tafiti kabla ya kuanza kulialia.
Mkuu Kaskazini ni Tanzania ama ni nchi gani? Kama iko ndani ya mipaka ya Tanzania ni maendeleo yetu sote.
Hivyo ni kusema wakati Mikoa MINGINE IKIKUMBUKWA kimaendeleo basi watu wa Kaskazini MSIPIGE kelele maana MLITANGULIA!
Hata hivyo usimdharau aliye chini SIKU MOJA atafanikiwa.
Maana Kiburi huja kabla ya mwanguko/PRIDE comes before a FALL!!
 
1.)Hivi kuajiriwa BOT na TRA ndio kuendeleza ukanda wa ulikotoka? Inawezekana kweli Mtumishi wa BOT au TRA akajenga Barabara, Shule, Hospital, Uwanja wa Ndege, Umeme, Nyumba Bora za kuishi, Usafiri wa Magari binafsi na Huduma ya maji kwao? Atakuwa analipwa shilingi ngapi huyo mtumishi? Mtumishi wa BOT na TRA anaweza akamzidi kipato mtumishi wa UN, IMF na WB? Hapa kusema ukweli wachaga wanaonewa. Huko BOT na TRA kuna Wapemba, wamakonde, wasukuma, wahaya yaani makabila yote. Kulikoni kwao hakushambuliwi kimaendeleo?

2.) Kiongozi akitoka eneo lako mtapata faida gani wananchi wa huko? Niwarushe roho hadi mbaki na maneno yenu ya Wachaga WEZI na Wanawake wao wanaua!

Maji----Kaskazini hasa Mkoa wa Kilimanjaro wilaya za HAI, SIHA, MOSHI Vijijini na Rombo yapo ya kutosha tena unachagua utumie ya Bomba zilizowekwa na Wamisionary wa Kijerumani wakaipa serikali iangalie- toka Losaa to KIA, BOMA, MERARANI, RUNDUAGAI na kila nyumba kijijini. au ya Mto, au chemchemi au ya Mfereji. Sidhani hapa kama Kaskazini wanahitaji Kiongozi wa kuwaletea Maji. Labda tu mabadiliko ya tabia ya nchi yamechangia kupungua hasa wakati wa Kiangazi. Mchaga hanywi maji ya Visima na Wanyama! Asante Mungu yanatoka huko Mlimani!

Elimu----Shule za kumwaga hadi English Medium za Vidudu, Msingi na Secondary Vijijini!. Refer Modio Islamic English Medium School iko kijijijni lakini Elimu Super. Shule zilizojengwa na Misionnaries, Wananchi, serikali na Masjid. Unachagua shule ya kwenda zenye madawati, madarasa, vitabu na viti. Tena wanafunzi wanapata Lunch na chai shuleni. Waalimu wa kutosha.

Historia: Elimu Kaskazini

Kaskazini ni maeneo ya mwanzo ambayo Wamisionari wa Ukristo walijenga MAKANISA na SHULE. Sababu hii iliwafanya Northernes kuwa wengi zaidi walio na elimu ya kisasa na mikoa wa Kaskazini inaongoza kwa idadi ya shule za sekondari nchini Tanzania. Shule nyingi za sekondari ziko katika mikoa hii kwa sababu zifuatazo: 1) Hali ya hewa na vivutio vya kitalii katika mkoa huu viliwavutia zaidi walowezi na wakoloni na kuweka makazi yao hapo. Hivyo wamisionari walijenga shule za kwanza wakifuatiliwa na serikali za wakoloni 2) Serikali ya Tanzania ilirithi shule zilizojengwa na wakoloni 3) Watu wa Kaskazini waliobahatika kupata fedha binafsi baadaye waliwekeza kwenye ujenzi wa shule binafsi kama kitega-uchumi, wakati wakazi wa mikoa mingine kadhaa walisubiri serikali iwajengee shule.Ni vema pia kusema kuwa shule hizo huvutia wanafunzi kutoka Tanzania nzima, haziwasomeshi tu Northerners.

Barabara---- Kwa Interest za Wakoloni ilikuwa lazima wajenge barabara ya kuunganisha mikoa ya kaskazini na Kenya. Hivyo ni rahisi kutoka Moshi, Arusha kwenda Kenya kwa barabara ya lami. Kihistoria Arusha in Makao makuu ya East Afrika tangu 1967 haikuwa busara kujenga barabara hapo? Arusha kuna vivutio vya Kimataifa vya Kitalii from wanyama, Rift Valley, Crater, Oldvai, Wamasai na Culture yao. Mkoa unaingiza pesa tena ya Dolars, EURO na Pound. Tukirudi Moshi mnapopaonea Wivu: Kwa juhudi za wananchi kupaza sauti zao na kudai zimepatikana. Marangu to Moshi iliwekwa na wakoloni, Machame to Moshi, Siha to Moshi, Moshi to Uru, Kibosho to Moshi hawa watu hawawezi kumsahau Mrema aliwapigania ikapatikana. Moshi to Holili - hii lazima inaenda mpakani na Kenya. Moshi to Tarakea Lazima iwepo kuunganisha nchi na Kenya. Huko Upareni sijastudy sana za huko. Kijijini wananchi wana siku zao maalum ya kufanya kazi za jamii kwa pamoja bila kushuritishwa: kujenga barabara za ndani, kujenga shule. Kule watu wamejitune wanawajibika.
Hospital----Za kutosha hadi ya Rufaa nyingi zilijengwa na Missionaries. Ila ile ya TB ya Kibong’oto iliyokuwa inachukua wagonjwa wote wa TB Tanzania sina hakika nani walijenga.
Usafiri wa Ndege, Treni---- Asante Serikali, Asante Wazungu. Unachagua unataka kusafiri kwa njia ipi( Ndege, barabara au Treni).
Umeme---------- hadi mabanda ya kuku na nguruwe pesa yako tu ya kuvuta ndani. Hata huko katikati ya Kahawa na Migomba.

Baada ya kupata hizi huduma za jamii Wananchi wa Kaskazini wakatumia fursa hizi kusomesha watoto wao kwa hali na mali, wakajihusisha na kilimo na Ufugaji - Kilichopatikana wakajenga nyumba nzuri za matofali na bati katikati ya migomba yao na kahawa ikawa rahisi kwao kupatiwa umeme vijijini haraka kabla ya REA. Kumbuka umeme unahitaji nyumba bora siyo ya nyasi na tope. Waliotoka wakaendeleza ndugu zao kielimu na kibiashara huku wakiwafundisha kurudi kwao kwenda kujenga nyumba ya tofali ili siku matatizo ya kifo au furaha kama harusi wasipate aibu. Natamani kama nyie Chaga Haters mngeweza kusafiri muende eneo linaitwa Nronga' ni kwenye mwinuko lakini kuna nyumba nzuri utadhani umetua Ulaya'. Huko hakuna Mtumishi wa BOT wala TRA ni kwa wakulima wachakarikaji. Kuna hadi Kiwanda cha Kusindika Product za Maziwa- Juhudi za kina mama wajasiriamali na wafugaji. Hata Northerners wasipokuwa na mtetezi serikalini kwao kutazidi kuendelea. Mpika Chips wa Dar es salaam Mnorthener akikupeleka kwao December utashangaa maendeleo aliyopeleka kwao. hata wale washona viatu, makondakta na madereva wanaojitambua from Northern wanawazidi kimaendeleo wana Mentality ya maendeleo siyo Kubebwa.

Hata hivyo mkumbuke Raslimali za watanzania ni zetu wote. Kama nyie mlishindwa Kuendeleza kwenu kwa Juhudi zenu msinyime watu wengine eti walipendelewa. Nyerere hakuwa Northerner, alitoa fursa kwa watu wote, Northerner- Ingekuwa hivyo Leo Mara na Mwanza kusingekuwa na nyumba za nyasi kungekuwa kama New York.
HAWA WATU WA KASKAZ NI WAJIVUNI TU MAENDELEO WALIYOPATA SIO YA KUJIVUNIA SANA KWANI BADO KUNA KUNDI KUBWA LA WASIOSOMA NA MASIKINI WALIONDELEA NI WACHACHE YAPO MAKABILA WATU WANA PESA LAKINI KIMYA KAMA WAPEMBA NA WAKINGA.HUKO HUKO KASKAZ NDO KUNA WATU WANAVAA NGOZI NA WANALALA NYUMBA MOJA NA NGOMBE
 
Back
Top Bottom