The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,452
- 17,156
Kawawa alikua enzi za Nyerere, enzi hizo hakukua na ukanda, ndio maana Nyerere amekaa ikulu miaka 24 ameondoka musoma hakuna uwanja wa ndege wa kueleweka wala, umeme uko musoma mjini tu na hakuna hata chuo kimoja.Una matatizo si bure
Kawawa alikuwa wapi asipeleke maendeleo?
Je Pinda alikuwa wapi?
Pinda kajenga uwanja mkubwa sana wa ndege mpanda,kaupa mkoa wa katavi nk.