Ukweli kuhusu ishu ya Stephen Masele

Hana mke[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2299][emoji2299][emoji2299][emoji2299]
Siyo kweli, huyu mzee ni stan bakora kila sehemu. Kuna siku walimhoji ana watato wangapi alishindwa kujua idadi halafu cha ajabu hana mke.
 
Jiwe ana damu ya kunguni, nilishaanza kumhusisha yeye. wakati mwingine jiwe tunamuonea
 
Sasa km wewe ulidhani ni mh Rais ni yako na umeshushuka vibaya sana.
 
Masele ameponzwa na tamaa ya kuwa Rais wa PAP kwa maana nyingine Ngamia anataka kuingia mzima mzima kwenye hema!
Kwani ni vibaya kuupata urais wa PAP kama nafasi imejitokeza?

Unaona ni sahihi hayo mambo anayofanya huyo mcameron??
 
Aaaah! Sawa nimepata connection kuwa kumbe zile meseji za President toka kwa Mhe. Masele zilikuwa zinatumwa kwa Rais wa Bunge la Africa - huenda Job anafikiri kuwa Masele alikuwa nazituma kwa JPM kumbe sivyo!

Masele simama hapo hapo
 
Sasa km wewe ulidhani ni mh Rais ni yako na umeshushuka vibaya sana.
JItahidi kuwa unasoma post vizuri na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, mbona mtoa post kaeleza vizuri tu. Praise team mna tatizo moja la kutojipa muda wa kuelewa jambo kabla ya kulijibu hali inayowafanya muonekane kuwa ni mazuzu
 
Waziri Mkuu na Spika Ndugai nani Mkubwa kwenye Issue za Wabunge na za Kibunge?

Serikali kuu imeanza kutoa miongozo ya Kibunge kwa Wabunge baada ya kuona Dish la Spika Lina Yumba
ndugayi ni jipu
 
Habari ndo iyo Spika anatumika apa bila kujua.
Raisi wa PAP ana skendo mpaka za kunyanyasa watu kijinsia pale .Masele ndo anakomaa nazo pia.
All the best Masele tetea wanyonge uko PAP
 
Waziri Mkuu na Spika Ndugai nani Mkubwa kwenye Issue za Wabunge na za Kibunge?

Serikali kuu imeanza kutoa miongozo ya Kibunge kwa Wabunge baada ya kuona Dish la Spika Lina Yumba

Afu we mzeeee, hahahaha, kafutari pale kwa msomali kariakoo, bili juu yangu
 
Safi mkuu kwa kuniongezea taaluma. Mimi nilisikia mgogoro wao Masele & Dung ni huyu rais kudhalilisha wafanyakazi wa kike kingono. Waafrika tunakwama hapohapo kila siku ila bado hatupagundui.
Raisi wa PAP naona nae kaangukia pale mahala k.............Ile kitu so acha watu na hekima zao huangukia pale mahala
 
Waziri Mkuu na Spika Ndugai nani Mkubwa kwenye Issue za Wabunge na za Kibunge?

Serikali kuu imeanza kutoa miongozo ya Kibunge kwa Wabunge baada ya kuona Dish la Spika Lina Yumba

Nlidhani kama yanahusu mamlaka ya Spika wetu huku labda kuna kanuni za natural justice, kwamba TUHUMA zinafanyiwa kazi kwa mujibu wa taratibu na PALE inapobidi kuchukua hatua zaidi, hatua zinachukuliwa ipasavyo. Au? Hukumu kabla ya due process?
 
Hapo ndipo napozidi kumfahamu mtukufu Supika wetu... tangia fimbo hadi fukuzafukuza.... something wrong somewhere...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…