Masele ameponzwa na tamaa ya kuwa Rais wa PAP kwa maana nyingine Ngamia anataka kuingia mzima mzima kwenye hema!Maskini Ndugai hata watu wa nje wamemtambua ni wa jazba na ana mambo ya hovyo wameanza kumshirikisha kwenye mambo yao ya hovyo, nae kwa vile ni wa hovyo hajatambua anatumika hovyo na anaendelea kujipambanua ulimwenguni jinsi alivyo wa hovyo..
Ha ha ha Mgogo vs Msukuma.Waziri Mkuu na Spika Ndugai nani Mkubwa kwenye Issue za Wabunge na za Kibunge?
Serikali kuu imeanza kutoa miongozo ya Kibunge kwa Wabunge baada ya kuona Dish la Spika Lina Yumba
Ila kwa hapa spika kachemka, anahitaji kusaidiwa!Mkubwa ni Spika na ndiyo maana jina la Waziri Mkuu huwa linaletwa kwenye ka mfuko ka Lambo ili athibitishwe na Bunge!
Vita yaUspika 2020Kuna kitu sijaelewa, yaani mtanzania Job Ndugai ameamua kumhujumu mtanzania mwenzie ili kumtetea mkameruni katika bunge la Afrika?
Ana bifu gani hilo na Masele?
Yaani kwamba amehongwa na mkameruni? Spika wa bunge la Tanzania ana njaa kiasi cha kuhongwa na mtu wa nje ili kumhujumu mbunge mwenzie ili kumtetea mtu wa nje? Mkuu nakuamini haya mambo una uelewa nayo sana, wewe unahisi kuna nini hapa?
Ha ha ha Mgogo vs Msukuma.
Masele hana tamaa ya urais mkuu, rais wa PAP mwenyewe amekiri kuwa ana tuhuma na wabunge wote wametaka apishe kiti, masele hawezi kunyamaza kwa kuwa ataonekana ameona hizo tuhuma si chochote.. Hofu ya Ndugai ni kuwa Masele akiwa rais wa PAP kama atamzidi vile, jamaa ni jazba na kibri kichwani mtupu.Masele ameponzwa na tamaa ya kuwa Rais wa PAP kwa maana nyingine Ngamia anataka kuingia mzima mzima kwenye hema!
Safi mkuu kwa kuniongezea taaluma. Mimi nilisikia mgogoro wao Masele & Dung ni huyu rais kudhalilisha wafanyakazi wa kike kingono. Waafrika tunakwama hapohapo kila siku ila bado hatupagundui.Kwa hisani ya Malisa GJ
Kwa wasioelewa yanayoendelea kuhusu Masele. Ni kwamba Masele ni Makamu wa kwanza Rais wa bunge la Afrika (PAP). Hivi karibuni ameingia kwenye mgogoro na Rais wa bunge hilo Bw.Roger Nkodo Dang raia wa Cameroon. Masele anamtuhumu Dang kwa ubadhirifu wa pesa za bunge hilo, hivyo ameunda kamati ya kumchunguza.
Dang amekasirishwa na uamuzi huo na anaona Masele anafanya mbinu za kumuondoa ili yeye akalie kiti cha Urais wa bunge hilo. Kwahiyo Dang ameamua kumng'oa Masele kwenye nafasi yake ili yeye aweze kuwa 'safe'.
_
Dang amempigia Spika Ndugai kumuomba amuite Masele nchini ili yeye aweze kusurvive. Na Spika Ndugai leo kwa jazba amemsimamisha Masele ubunge wake na kuagiza arudi nchini haraka kwa kile alichokiita mambo ya hovyo. Lengo la Spika ni kumuokoa Rais 'fisadi' wa bunge la Afrika, Roger Dang. Yani Ndugai anatumika kwenye mgogoro usiomhusu.
Leo Masele ameliambia bunge la Afrika kwamba hatarudi nchini kwa agizo la Spika kama alivyoamriwa. Amesema Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amemruhusu aendelee na shughuli zake za bunge la Afrika (PAP).
_
Amesema Rais wa bunge hilo Roger Nkodo Dang hataweza kumng'oa kwenye nafasi yake ya Umakamu wa Rais kwa sababu hakuteuliwa, bali alichaguliwa na wabunge wa bunge hilo. Amesema na kushangiliwa na wabunge hao.
Nafikiri mmeelewa sasa. Maana wengine mlishaanza kumuwazia jiwe.!View attachment 1100051
Safi mkuu kwa kuniongezea taaluma. Mimi nilisikia mgogoro wao Masele & Dung ni huyu rais kudhalilisha wafanyakazi wa kike kingono. Waafrika tunakwama hapohapo kila siku ila bado hatupagundui.
Birds of a featherKuna kitu sijaelewa, yaani mtanzania Job Ndugai ameamua kumhujumu mtanzania mwenzie ili kumtetea mkameruni katika bunge la Afrika?
Ana bifu gani hilo na Masele?
Yaani kwamba amehongwa na mkameruni? Spika wa bunge la Tanzania ana njaa kiasi cha kuhongwa na mtu wa nje ili kumhujumu mbunge mwenzie ili kumtetea mtu wa nje? Mkuu nakuamini haya mambo una uelewa nayo sana, wewe unahisi kuna nini hapa?
Ok, nimepata picha, asante mkuu.Vita yaUspika 2020
Eti kosa lake Umbea, tangu lini umbea umekuwa kosa la kisheria ?
Hekima na busara havijatumika katika ku-handle hiyo issue na baadhi ya ma-Rais wa nchi za Africa wamelalamika, hivyo kijana anatakiwa kurudi tz ASAP na kwa swala la PM huo ulikuwa mtego wa kumnasa kirahisi.Masele hana tamaa ya urais mkuu, rais wa PAP mwenyewe amekiri kuwa ana tuhuma na wabunge wote wametaka apishe kiti, masele hawezi kunyamaza kwa kuwa ataonekana ameona hizo tuhuma si chochote.. Hofu ya Ndugai ni kuwa Masele akiwa rais wa PAP kama atamzidi vile, jamaa ni jazba na kibri kichwani mtupu.
Lisu ana bifu na viongozi wa serikali ya Tanzania, anadai wamekuwa madikteta uchwara, Ndugai nae ana bifu na Masele?Kwani Lisu & Co wanapoamua kuichafua tanzania wana bifu gani na watanzania!
Ndugai=Ndu-Guy chutama upepo upite
Siyo kweli, huyu mzee ni stan bakora kila sehemu. Kuna siku walimhoji ana watato wangapi alishindwa kujua idadi halafu cha ajabu hana mke.Siyo kwamba ni ndu gay kweli...