PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,507
- 15,426
we kilaza kweli
ktk nyekundu hapo,hakutuma maombi kuhudhuria-bali hiyo ni kampuni inayo toa fellewship ktk issue zinazohusu maendeleo ya siasa,alichokifanya Pro Lipumba ni kutuma proposal na wakachaguliwa watu 20 nae akawa ni mmoja wa hao 20 ili sasa kuandaa mchakato mzima ambao wewe umeleta video yake
mimi mnaniuzi sana baadhi ya wana jf hasomi,nyie mnakutupuka tu
nakumbuka hata kuna post hapa ya kutaja watu watatu watakao ingizwa ktk tume ya mchakato wa kukusanya maoni ya katiba mpya,kuonyesha kuwa hamsomi mkakurupuka na kutaja hata wajumbe ambao sheria aliyosaini raisi haiwaruhusu kuwa wajumbe
jamani someni mtakuja kuwa viongozi na mtasaini mikataba feki kwa uvivu wa kusoma
mwenzeni kiinglish huwa sikijui, kama kuna ninachokijua basi ni kile cha zamani, hivyo namba kusaidiwa, eti ku prpose au kutuma proposal maana yake nini?