#COVID19 Ukweli kuhusu faida ya chanjo kwa ujumla wake

HDP

Senior Member
Aug 22, 2015
163
93
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla.

Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame google na kusikiliza clip za wasiojua wenzake sasa anadhani anajua kuliko wenye taaluma yao ya chanjo.

Hao wasiojua pia wanatumia nguvu nyingi ili wasielewe hata wakieleweshwa.

Chanjo yoyote hata ya COVID-19 kwa lugha ya kijamii/kiswahili:-
1. Inaweza kukukinga usipate ugonjwa kwa asilimia kadhaa (hapa inategemeana na ubora wa chanjo/efficacy)
2. Inazuia usipate madhara makubwa hata ukiugua kwa asilimia 100%
3. Inapunguza maambukizi katika jamii:-
  • Kwa kupunguza muda wa kuugua na kueneza ugonjwa.
  • Kwa kutengeneza kinga ya jamii (herd immunity).

4. Inapunguza VIFO kwa kupunguza maambukizi na madhara ya ugonjwa.
 
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla.

Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame google na kusikiliza clip za wasiojua wenzake sasa anadhani anajua kuliko wenye taaluma yao ya chanjo.

Hao wasiojua pia wanatumia nguvu nyingi ili wasielewe hata wakieleweshwa.

Chanjo yoyote hata ya COVID-19 kwa lugha ya kijamii/kiswahili:-
1. Inaweza kukukinga usipate ugonjwa kwa asilimia kadhaa (hapa inategemeana na ubora wa chanjo/efficacy)
2. Inazuia usipate madhara makubwa hata ukiugua kwa asilimia 100%
3. Inapunguza maambukizi katika jamii:-
  • Kwa kupunguza muda wa kuugua na kueneza ugonjwa.
  • Kwa kutengeneza kinga ya jamii (herd immunity).

4. Inapunguza VIFO kwa kupunguza maambukizi na madhara ya ugonjwa.
Labda ili waelewe vizuri uwaambie haina tofauti sana na chale😁...
 
Mi naomba kujua dalili zacorona
Most common symptoms:

fever

dry cough

tiredness

Less common symptoms:

aches and pains

sore throat

diarrhoea

conjunctivitis

headache

loss of taste or smell

a rash on skin, or discolouration of fingers or toes

Serious symptoms:

difficulty breathing or shortness of breath

chest pain or pressure

loss of speech or movement
 
Mbona kipind cha jiwe hamkujitokeza na izi thread kitu gn kimewafukunyua shimoni?
Nadhani madai yako ni irrelevant na hayana faida yoyote kwa jamii hasa kwa hali inayoendelea sasa ya ugonjwa wa UVIKO-19
 
Umeshachanjwa?? basi tulia mkuu upo salama wee na familia yako sisi tuacheache kwanza
 
Umeshachanjwa?? basi tulia mkuu upo salama wee na familia yako sisi tuacheache kwanza
Kwanini nyie wapinga chanjo mnataka hata sisi ambao ni wajibu wetu ni kuelimisha jamii kuhusu masuala ya afya tunyamaze?.

Tutaendelea kutoa elimu ili jamii ifanye maamuzi yoyote huku ikiwa na elimu sahihi.
 
Kwanini nyie wapinga chanjo mnataka hata sisi ambao ni wajibu wetu ni kuelimisha jamii kuhusu masuala ya afya tunyamaze?.

Tutaendelea kutoa elimu ili jamii ifanye maamuzi yoyote huku ikiwa na elimu sahihi.
Bado tupotupo kidooooogo, tunasoma ramani :cool: :cool:
 
Most common symptoms:

fever

dry cough

tiredness

Less common symptoms:

aches and pains

sore throat

diarrhoea

conjunctivitis

headache

loss of taste or smell

a rash on skin, or discolouration of fingers or toes

Serious symptoms:

difficulty breathing or shortness of breath

chest pain or pressure

loss of speech or movement
In Swahili plz
 
In Swahili plz
DALILI ZA UVIKO-19 AMBAZO HUTOKEA KWA WAGONJWA WENGI

1. Maumivu ya viungo
2. Maumivu ya kichwa
3. Uchovu
4. Homa
5. Kikohozi kikavu

DALILI AMBAZO HUTUKEA KWA BAADHI YA WAGONJWA

1. Maumivu ya koo
2. Kuharisha
3. Kuumwa macho (conjunctivitis)
4.Kutosikia ladha au harufu
5. Kutokwa vipele

DALILI ZA HATARI

1. Kushindwa kupumua au kupumua kwa shida
2. Kifua Kuuma au kubana
3. Kushindwa kuongea au kutembea
 
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla.

Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame google na kusikiliza clip za wasiojua wenzake sasa anadhani anajua kuliko wenye taaluma yao ya chanjo.

Hao wasiojua pia wanatumia nguvu nyingi ili wasielewe hata wakieleweshwa.

Chanjo yoyote hata ya COVID-19 kwa lugha ya kijamii/kiswahili:-
1. Inaweza kukukinga usipate ugonjwa kwa asilimia kadhaa (hapa inategemeana na ubora wa chanjo/efficacy)
2. Inazuia usipate madhara makubwa hata ukiugua kwa asilimia 100%
3. Inapunguza maambukizi katika jamii:-
  • Kwa kupunguza muda wa kuugua na kueneza ugonjwa.
  • Kwa kutengeneza kinga ya jamii (herd immunity).

4. Inapunguza VIFO kwa kupunguza maambukizi na madhara ya ugonjwa.
Nimelipenda neno "inaweza" kumbe ni probability. Namba 2-4 una takwimu kutoka utafiti (comparative study) kutoka popote duniani.
Vipi nafasi ya tiba za asili katika kupambana na uvico-19?
JE HIYO CHANJO LIFE SPAN YAKE IKOJE? JE UKICHOMA ZAIDI YA MARA MOJA AU ZAIDI YA AINA MOJA KUN MADHARA YOYOTE?
 
Back
Top Bottom