Ukweli kuhusu dunia (earth)

Heshima yako kiongozi,nakufatilia kwa ukaribu sana.
 

Halafu haya mambo yoote, sayansi inakuambia yaliyokea tuu BANG!! Just like that!! Na watu tunaamini!🤣🤣🤣
 
Jamani.. kwa wale wenzangu na mimi naomba niwatoe wasiwasi. Hawa wote wanaozungumza kwenye huu uzi, na kutaja manamba makubwa makubwa, na ma terminologies ya ajabu ajabu.. hakuna lolote wanalolijua..! Infact, yote yanayojadiliwa humu ni MERE THEORIES yaani ni alfu lela ulela..! Hakuna any proof beyond reasonable doubt ya kitu chochote kile kinachozungumzwa katika huu uzi. Kesho anaweza kuibuka mwanasayansi na new evidence ukashangaa tunafuta kila kitu tunaanza upyaaa...!
 
Mkuu hapa sijaambulia hata moja !
Bado nina maswali mwengi ambayo hayana majibu ....

Kama dunia inazunguka,inazunguka na sisi ?
Kama inazunguka na sisi kwa nini tunasafiri kwenda sehemu flan ?

Kwani ukiwa kwenye gari au ndege au boti huwezi kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine?
 
...DUNIA NI KAMA SARAFU, NI DUARA KWENYE KINGO ZAKE ILA NI TAMBARARE KWENYE SURFACE YAKE...NA NDIO MAANA KUNA PANDE KUU NNE ZA DUNIA, NEWS(NORTH, EAST, WEST, SOUTH) WAZUNGU KWA KUTUMIA DIRA YA DUNIA TAARIFA YA HABARI IKAITWA NEWS KIFUPI CHA NORTH, EAST, WEST, SOUTH, CHUKUA SARAFU IGAWE MARA 4,SASA KAMA DUNIA NI DUARA JE NORTH INAANZIA WAPI KWENDA WAPI?
 
sasa huku mwisho wa kingo zake kuna kizuizi gani kinafanya viumbe wasipitilize wakadondoka huko...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo kama dunia duara huko chini kuna watu wanaishi, yani wapo kichwa chini miguu juu

Sent using Jamii Forums mobile app
si umeona hapo ni duara mfano wa sarafu au ?
ina maana sisi tuko juu ya sarafu...
ndio maana nikauliza mwisho sarafu kuna kizuizi gani kinachozuia vitu visipitilize nje ya dunia ?
na nje ya sarafu kuna nini ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
si umeona hapo ni duara mfano wa sarafu au ?
ina maana sisi tuko juu ya sarafu...
ndio maana nikauliza mwisho sarafu kuna kizuizi gani kinachozuia vitu visipitilize nje ya dunia ?
na nje ya sarafu kuna nini ?


Sent using Jamii Forums mobile app
Na mm nikauliza km ni duara mfano wa tufe je hiyo tufe upande wa chini yani south kuna viumbe vinaishi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…