wazo la el kujisafisha naliunga mkono. lkn km kweli anakipenda chama na taifa y ajitoe???? kuna ubaya gan el akigombea? as long as hata yy alitoka ccm na akapewa nafac agombee. ooooh siasa. upuuuz mtupu..... nampenda sla bt kura yangu kwa ukawa ipo palepale. wananch tushakubaliana na hiyo hali viongoz msituvuruge. i wish slaa angekua mgombea mwenza.
kwanini usingesema I wish lowassa angekuwA mgombea mwenza? shida ninayopata ki chwani ni yy kuweka sharti la kutokugombea ikiwa atakuwa na kura ya maoni. lkn amevunja hats katiba kwa pesa yake. Mimi in mwanachadema ila simpendi tu lowassa.