Ukweli kuhusu Dr. Slaa

Ukweli kuhusu Dr. Slaa

Ni kweli mzee Slaa aachwe apumzike ili atafakari upya maisha yake ya kisiasa. Akishatafakari nadhani atakuja na majibu sawia. Tuache kumuwekea maneno mdomoni tumsubiri aje mwenyewe kuzungumza.

well said
 
Ccm itashinda pia mwaka huu. Upinzani bado saaaana japo lowasa kaleta changamoto. Dr slaa Dr slaa anahitaji nini hassa mabadiliko au awe ndani ya chama ambacho hakichukui dola kila uchaguzi ukija. Yeye kama yeye mbele Magufuli asingeweza kabisa yaaani atatupwa mbali sana. Kaja lowasa kaanza zake lowasa vs magufuli ndio hasa ushindani. Sasa jamaa anataka kuharibu upinzani. Kwa hali hii upinzani Tanzania utabaki upinzani na sio kuongoza nchi bado saaana. Ccm nawapongeza kabla hongera yao.
 
hongera saaana kwa kutuandikia makala ndefu ila chunga usije ukawa na akili kama za lowasa na mtu wake.mwenye ushahidi aende mahakamani afungue shitaka sawa.mtakosa ya kusema pindi EL akiongoza dora .kuwa makini silaa alitamani madaraka na alitaka agombee yeye.
 
Mheshimiwa;A.N CHILONGOLA, Umetoa maelezo mazuri na yenye ukweli mwingi. Dr. Slaa ameonyenyesha msimamo usio yumba. Amesema mengi kuhusu Lowasa, tangu sakata hili limenza zimetolewa kanda nyingi zinavyoonyesha alivyokuwa akimsema. Lowasa ameyakia yote, amedharirishwa sana hata kuzidi taarifa y Dr. Harrison Mwakyembe. Anaujasiri gani kuwafuata watu walio msema hivyo? Kwanini waliofuatwa wasiogope? Kama Lowasa in mtu mashuhuri na ana nguvu kiasi hicho, kwanini asingejiunga na chama kama CUF, NLD,TADEA ACT kwanini kwenda kwa maadui zake? Kwanini anawafuata watu waliomchonganisha na chama chake?

Ninaanza kushawishika; kuna harufu ya rushwa hapa!
 
Si Dk Slaa peke yake aliyehangaikia Chadema. Naye alijiunga Chadema baada ya kukatwa CCM kwenye ubunge wa Karatu?

Mbowe amekuwa Chadema kabla ya huyo Dk Slaa.

Kama vp arudi tu CCM tujue rangi yake kamili. Anazingua.
 
Ni mtu mjinga tuu ndio unaweza kumkataa El na naweza sasa kusema Dr. ameonesha ubinafsi wa hali ya juu labda ndio tuaanza kumtambua aina ya viongozi tunaowaamini. Padre anakuwaje na moyo mgumu namna hii kusamehe?
Lakini maamuzi yaliyofanyika ni kidemocrasia maana ni ya wengi lakn namshangaa Slaa kukomalia msimamo wake mwenyewe. Dr. alipokelewa kama lowassa baada ya kukatwa ka alivyokatwa lowassa.





Hii ndio inadhiirisha hakuna aliye juu ya chama wanachama wamesema mpokee lowassa katibu pekee aseme asipokelewe huu msimamo haukubaliki anapaswa abadilike.



Tofauti ni kwamba Dr.Slaa akuwa mchafu alipotoka CCM kuja CHADEMA tofauti na EL
 
PROPHET POLY 14:00 Today
Kuna kitu hamjakijua tu..Mungu amenionesha:
1. Udini.(sio sana )
2.Udhehebu unataka kulitafina Taifa hili kwa mara nyingine.
Nb:
1. Dr.Umetumwa ukomboe Taifa la Tanzania sio kueneza udhehebu.
2. Unaona bora Umsapoti Magufuli coz ya kutokea zizi moja kiaina?
3.Mungu atawadhibuni nyote kwani Amesikia kilio Cha watanzania wengi..Acheni Mzaha.

4. Kumkataa E.l si tu Ufisadi..Kwani wako wangapi ccm?
Ni zaidi ya Ufisadi Na.agenda hii ya siri..
ONYO.
utawala wenye Baraka..watoka kwa Mungu.
NOTE....
1.MUSA ALIUA KULE MISRI NA BADO MUNGU AKAMTUMA KULIKOMBOA TAIFA LAKE...SEMBUSE UFISADI AMBAO HAU.A UHAKIKA KWA E.L?
2.MNAMWAMINI MUNGU YUPI?Aliyesema samehe mara saba sabini?
ACHENI MZAHA..
 
Ni heri kutumia fisadi moja kuondoa mafisadi millioni moja.Au vipi wkuu?
 
1. Hao wanaoeda kumuona hawafungulii sasa watamediate saa ngapi?

2. CHADEMA sio kitengo cha maaskofu wa katoliki hivyo hizo jitihada za kumpeleka Italy zinakihusu vipi Chadema?

3. Hivi mnajua maana ya wengi wape? Sasa mtu anapogeuka mungu mtu ndipo anapopuuzwa

4. Na sasa rangi halisi ya huyo mnaemwita mchumba/mke ndipo inapoonekana kama Mumewe angekuwa Rais kuna siku angemfungia ndani hivyo hivyo muanze kutafuta wanawake wa kwenda kumshauri mke ali aongee na mumewe

5. Hivi aliyesotea chama ni yeye peke yake?

6.Wale waliopata kusikia habari za vita wakati mwingine askari akiwa vitani anapojeruhiwa na kutoonesha matumaini ya kupona huwa anauliwa sio kwa sababu hakuwa na mchango bali ni kwa mstakabali wa kushinda vita

7. Ifike mwisho tusiendekeze miungu watu. Wengi wape ndio utaratibu katika kufikia mwafaka wa makundi

Af sLaa kwa kumwangalia2 anaonekana katili sana! ana roho mbaya kama cyo m2mish wa bwana
 
Ni wakat sasa wa wakuacha kubisha mambo eti kisa tu yanatugusa moja kwa moja...iv ili suala la dr.slaa n la kubsha kwa nguvu zote kwel!!!hata km lkzo huu n wakat wa kupeana lkizo kwel!!!!!tena kwa mtu mhim km slaa!!tuache kubisha tu vtu et kisa vnatugusa moja kwa moja tukubalie tukatae kuna tatzo hapa kat ya slaa na chama...hata suala la EL kuja chadema lilianza km tetes likaja kua kwel vivyohivyo hata ili tunalolisikia na kilibishia kwa nguvu zote linaweza kuja kua kwel....ivyo tusiwe tunabsa tu bali tuwe tunatazama mambo kwa jicho la tatu
 
Kati ya watanzania ambao ni ngumu kumuingia kwa hongo ni Mh Tundu LISSU ukiachlia mbali Dr Slaa na Mnyika!
Tundu LISSU ni aina ya binadam ambaye tokea maisha yake ameshajiapiza kutopokea wala kutoa Rushwa, huyu ni mtu ambaye anaamini zaidi katika midingi ya haki zaidi.
Kuna propaganda zinaenezwa kwamba eti Mh LISSU amepokea shi mil180 ili kukubali kumpokea Lowassa! Ningweza kusema kwamba kama vigingi vigumu kuviingia kwa Rushwa ni pamoja na Mh LISSU, Tuache kuudanganya umma kama mtu humfahamu LISSU ni bora ukae kimya tu! Hiki Kichwa nilishawahi kukaa nacho kimajukumu mbali mbali ya kijamii Namfaham vizuri huwezi kuniambia kitu juu yake.Ni mtu mwenye misimamo ya ajabu juu ya nadhiri zake, Naye ni binadamu ana madhaifu yake lakini kuja na propaganda eti amehongwa Mil 18 ni blaa blaa tu tusipende kuchafua watu kwa sababu zisizoeleweka!
 
Watu huweka imanizao pembeni especially wakiona wakubwazao hawafuati wanayoyahubiri
 
Kati ya watanzania ambao ni ngumu kumuingia kwa hongo ni Mh Tundu LISSU ukiachlia mbali Dr Slaa na Mnyika!
Tundu LISSU ni aina ya binadam ambaye tokea maisha yake ameshajiapiza kutopokea wala kutoa Rushwa, huyu ni mtu ambaye anaamini zaidi katika midingi ya haki zaidi.
Kuna propaganda zinaenezwa kwamba eti Mh LISSU amepokea shi mil180 ili kukubali kumpokea Lowassa! Ningweza kusema kwamba kama vigingi vigumu kuviingia kwa Rushwa ni pamoja na Mh LISSU, Tuache kuudanganya umma kama mtu humfahamu LISSU ni bora ukae kimya tu! Hiki Kichwa nilishawahi kukaa nacho kimajukumu mbali mbali ya kijamii Namfaham vizuri huwezi kuniambia kitu juu yake.Ni mtu mwenye misimamo ya ajabu juu ya nadhiri zake, Naye ni binadamu ana madhaifu yake lakini kuja na propaganda eti amehongwa Mil 18 ni blaa blaa tu tusipende kuchafua watu kwa sababu zisizoeleweka!

Kwa hiyo hamuungi vidole mzee
 
Kati ya watanzania ambao ni ngumu kumuingia kwa hongo ni Mh Tundu LISSU ukiachlia mbali Dr Slaa na Mnyika!
Tundu LISSU ni aina ya binadam ambaye tokea maisha yake ameshajiapiza kutopokea wala kutoa Rushwa, huyu ni mtu ambaye anaamini zaidi katika midingi ya haki zaidi.
Kuna propaganda zinaenezwa kwamba eti Mh LISSU amepokea shi mil180 ili kukubali kumpokea Lowassa! Ningweza kusema kwamba kama vigingi vigumu kuviingia kwa Rushwa ni pamoja na Mh LISSU, Tuache kuudanganya umma kama mtu humfahamu LISSU ni bora ukae kimya tu! Hiki Kichwa nilishawahi kukaa nacho kimajukumu mbali mbali ya kijamii Namfaham vizuri huwezi kuniambia kitu juu yake.Ni mtu mwenye misimamo ya ajabu juu ya nadhiri zake, Naye ni binadamu ana madhaifu yake lakini kuja na propaganda eti amehongwa Mil 18 ni blaa blaa tu tusipende kuchafua watu kwa sababu zisizoeleweka!

Ndio ameshahongeka sasa
 
Back
Top Bottom