Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Wanatengeneza njia za upigaji tu hakuna la zaidi.
Yale majengo ni lini yatapata wapangaji wa uhakika kama siyo kiini macho tu.

Huyu Dau ni specie ya JK, ndiyo waliokuwa wanapiga huko.
 
Nimekubaliana na point zote isipokuwa hiyo ya udini na ukabila,ifike wakati tuache propaganda
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.

Duh,kwaiyo mleta mada kaongea point Una maanisha,, aisee kazi IPO
 
waandishi wa habari wanaandaliwa mashindano wiki ya nssf hivi ni wangapi wanajua riba ya mwanachama kwa mwaka ni 1.8% ambayo wengi hawaipati kwa kutojua hili shirika lina hati chafu madhara ya uwekezaji wa dau huwezi kuyaona sasa hivi ila utayaona baada ya kipindi fulani
 
nawe pia mbaguzi, kaleta uzi kiswahili wewe unachangia kichina!!
 
Nashukuru kwa elimu kubwa uliyompa mtoa mada.hope amekuelewa zaidi ya matarajio yetu.asante..
 
Hivi ikifanyika forensic audit ikagundulika kwamba kulikuwa na ufisadi wa kutisha NSSF mtaficha nyuso zenu wapi?
My advise: In this country anything is possible. Don't forget ule mradi wa daraja la Kigamboni Magufuli aliupinga sana kutokana na costs kuwa inflated ila alipigwa chini na ofisi kubwa!

Watch this space! Usiyemtaka ndo kafika! Nyerere alishawahi kusema..Ukweli unaweza kuuchezea kama unavyotaka..lakini kamwe utajulikana tuu! Yangu macho.
 

Chadema ipendekeze wapemba wote wafukuzwe kwenye ilo shirika maana sio RAIA wa tz,hawana haki yakuajiriwa km asemavyo mleta mada kwa kusapotiwa na kina Ben saa nne
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Ben,
Usinipasue mbavu hizi ndiyo nondo?

Dr. amejaza hadi wapemba kwenye ofisi zetu, kisa mke wake ana asili ya Pemba. Zunguka ofisi zote za mikoa ni nadra kuwakosa wapemba.

Na nyie Chadema fukuzeni wapemba kina Duni Hajji.

Ben hapa tatizo ni Uislam wala hamna chochote mbona mifuko mingine wamejaa wakirsto watupu hamna neno udini au udini uwa unatumika kwa Waislam tu.
 
Sahihi kabisa Mkuu, Amewabagua wapemba kama vile si binadamu wanaopaswa kuajiriwa NSSF endapo wana vigezo vilivyotimia. Mleta mada kadhihirisha chuki + ubaguzi.
Pu.mba kweli hili jamaa lileta mada.sijui nani kalituma kuleta uozo huu.
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Kati ya mtoa mada na idara ya usalama yupi anapaswa kuwa na taarifa zaidi ya mwenzie? Yaani usalama waanzie hapa kupata taarifa ilhali wao ndo wanaopaswa kuwa vyanzo vya taarifa?
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Acha kuamini kila kitu jishughulishe kufikiri.Nssf kila mwaka ongezeko la wanachama linazidi kukua ukilinganisha na mifuko mingine ya hifadhi ya jamii ambayo iko taabani.huduma bora na ubunifu wa dr dau ndio umechangia shirika kuaminika kila uchwao.
 

Huyu nae sindio walewale, lazima amsapoti huyo mleta thread ya kibaguzi na udini
 
Eti 'Amejaza wapemba kwenye ofisi zetu' 'Hapa ujazungumzia watu wa Kisarawe' Sikutambua kwamba kumbe Wapemba na watu wa Kisarawe hawastahili kupata ajira katika shirika lako la NSSF.

Mleta mada umepotoka na umekosa busara, umeficha utambulisho wako halafu wewe unatoa tuhuma dhidi ya mtu ambaye ameshaondoloewa katika wadhifa huo, taarifa yako inakosa kuamika. Unamwita mwenzako 'mdini' lakini wewe ujidhihirisha ulivyo.
 
Kati ya mtoa mada na idara ya usalama yupi anapaswa kuwa na taarifa zaidi ya mwenzie? Yaani usalama waanzie hapa kupata taarifa ilhali wao ndo wanaopaswa kuwa vyanzo vya taarifa?

Jamaa nahisi account yake imevamiwa,sio yeye
 
We huna lolote umetumwa tu umtetee dau,mwandishi anamaliza kwa kuomba special audit hiyo ndyo itaeleza ukweli wote hakuna uongo hata kidogo hapo
 
Huyu aliwekwa kwa makusudi kwani baada ya hapo ajira zilizofuata zilikuwa za ‘Msikitini”

Nimesoma huu uharo wako hamna cha maana zaidi ya kuwa na chuki na Uislam na Waislam.
 
dr ameshaondoka tatizo liko wapi? mbona mnaweweseka? tengenezeni shirika lenu, muacheni mzee wa watu, musitafute kuhalalisha chuki zenu zidi ya uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…