Ukweli kuhusu Chuo kikuu cha Kampala (KIU)

Wapo watu waliomba vyuo vingine kabisa machaguo yote matatu lakini wamepangiwa chuo kingine kabisa.

Je mnalijuwa hilo?

Bro kwa uelewa wangu,hiki kitu HAKIWEZEKANI

Either utapata moja kati ya uliyochagua au utakosa kwenye hiyo round

Wanachosahau hawa vijana ni kuwa machaguo yote matano yana chance sawa ya kuwa selected kwa hiyo huwa wanachagua kozi yoyote ili tu kujaza nafasi na mwishowe mtu anachaguliwa chaguo la tano ambalo hakua na nia nalo ,na hapa ndipo shida inapoanzia
 
Danganywa sasa humu , afu uache kwenda kusoma .. Wenzako kwa mamia wapo wanajisajili huko sahivi .. Afu siajabu yanayo kukatisha tamaa humu mengine ni wapiga debe huko GOMZ..KIU wanaisikia sikia tu .. Hata jengo la health science hawalijui ... Uamuzi ni wako .
Huwa unajitahidi sana kukitetea chuo chako,big up sana mkuu


Waambie wakutajie matatizo uone wanavyobwabwaja .. Wanakutajia mgomo wa mwaka 2014/2015 .. Ambao umeleta changes kubwa sana ..mpaka KIU haijafungiwa kudahili mwaka huu .. Kama Yale mavyuo mabovu yaliyo zuiwa kudahili 2016/2017
 
Jamani ndugu zangu nimepangiwa Kampala University Kiu Pharmacy naomba mnaojua mtujuze kuhusu ile skendo ya kutisajiliwa na bodies ya maphamasia
Wamekupangoa TCU au? Kama ni wao basi wahoji wao ndo wasimamizi wa hiki chuo pia.
 
Maandamano iko chuo hayaish na unaweza kupga course alaf end of the day unaambiwa haikusajiliwa katka iko chuo.
mkuu wewe umechaguliwa chuo gani? sababu nilikua nakuona ukihaha sana kwenye threads za kuhusu selection, usikute hata hiyo kampala unaitamani, cha msingi kama hujui kitu heri unyamaze sio kukatisha tamaa watu waliochaguliwa.........
I bet umechaguliwa cambridge au oxford kwa jinsi unavyo comment....o_Oo_Oo_O
 
Bro kwa uelewa wangu,hiki kitu HAKIWEZEKANI

Either utapata moja kati ya uliyochagua au utakosa kwenye hiyo round

Wanachosahau hawa vijana ni kuwa machaguo yote matano yana chance sawa ya kuwa selected kwa hiyo huwa wanachagua kozi yoyote ili tu kujaza nafasi na mwishowe mtu anachaguliwa chaguo la tano ambalo hakua na nia nalo ,na hapa ndipo shida inapoanzia
Hakuna la ajabu kuelekea hizi round za mwisho haya hutokea. Sio kila mtu hupata alicho omba. Wanajitahidi kukupa ulicho omba lakini ikishindikana wanakupachika mahali. Unapewa offer unafanya maamuzi.
 
Hakuna la ajabu kuelekea hizi round za mwisho haya hutokea. Sio kila mtu hupata alicho omba. Wanajitahidi kukupa ulicho omba lakini ikishindikana wanakupachika mahali. Unapewa offer unafanya maamuzi.
Una uhakika na ulisemalo?
 
TCU hawez kukupeleka chuo ambacho kina mgogoro wa usajili wa kozi, though, hakuwezi kuwa na mgogoro then ukachaguliwa kusoma na unapokea fedhaa, nenda kasome, acha uogaa

mgogoro wa usajili in solved na in baadhi ya kozi zilikuwa badoo
 
mkuu wewe umechaguliwa chuo gani? sababu nilikua nakuona ukihaha sana kwenye threads za kuhusu selection, usikute hata hiyo kampala unaitamani, cha msingi kama hujui kitu heri unyamaze sio kukatisha tamaa watu waliochaguliwa.........
I bet umechaguliwa cambridge au oxford kwa jinsi unavyo comment....o_Oo_Oo_O
ata kama wangenichagua apo kwa baat mbaya ningeahirisha mwaka tu.
Maana apo nayavamia matatzo mwenyew
 
Back
Top Bottom