



I mean kutokusajiliwa
Jamani ndugu zangu nimepangiwa Kampala University Kiu Pharmacy naomba mnaojua mtujuze kuhusu ile skendo ya kutisajiliwa na bodies ya maphamasia
Ebu nielezee kidogo ndugu matatizo gan hayoIki chuo n full broblema yan ukichaguliwa hapo unatakiwa uvumilie meng![]()
ww nenda kapge kitabu ukitka kuckilza maneno ya humu hautosoma bcause humu jf kuna watu wapo kuwakatisha tamaa wenzaoJamani ndugu zangu nimepangiwa Kampala University Kiu Pharmacy naomba mnaojua mtujuze kuhusu ile skendo ya kutisajiliwa na bodies ya maphamasia
Maandamano iko chuo hayaish na unaweza kupga course alaf end of the day unaambiwa haikusajiliwa katka iko chuo.Ebu nielezee kidogo ndugu matatizo gan hayo
Kuna mshkaj wang yuko second year ndio ananipa michongo yote ya kile chuo.Ww unasoma pale
acha kuongopea watu maandamano hayo labda yako ww lkn cio kIU na unajuaMaandamano iko chuo hayaish na unaweza kupga course alaf end of the day unaambiwa haikusajiliwa katka iko chuo.
Ww mbona unajikuta mjuaji,kwani kuhama haiwezekani.afu hujui hats situation ilikuwajeKwa nini usingetafuta ushauri ndo ukajaza
Yaani umesha kuwa selected ndo unaomba ushauri wewe kweli mwendo kasi.( samahani lakini)
Ungeuliza kabla hujachaguliwa
Kuna mshkaj wang yuko second year ndio ananipa michongo yote ya kile chuo.
Ila kwasabab ume be selected kakomae ivyo ivyo maana hakuna namna
Wapo watu waliomba vyuo vingine kabisa machaguo yote matatu lakini wamepangiwa chuo kingine kabisa.Kwa nini usingetafuta ushauri ndo ukajaza
Yaani umesha kuwa selected ndo unaomba ushauri wewe kweli mwendo kasi.( samahani lakini)
Mmmmmh inawezekana vp iyoWapo watu waliomba vyuo vingine kabisa machaguo yote matatu lakini wamepangiwa chuo kingine kabisa.
Je mnalijuwa hilo?