Ukweli kuhusu Blood Group 'O'

Mimi ni O+ ambacho mpaka sasa nina uhakika nacho ni kwamba O anang’atwa sana na mbu.

Yaani mkikaa nje usiku mtu mwenye O na mwingine labda A, B au AB basi wewe mwenye O lazima cha moto ukione wakati huo unapiga piga mbu mwezako hana habari
Mimi sikuwahi kupima kujua grupu la damu,nikiwa mikoa yenye mbu mfano ukanda wa pwani nilikuwa nang'atwa na mbu hadi mchana.

Majuzi kati nimepima grupu la damu ni O+


Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Nina shoga yangu yupo Kinondon hapa ni O-ve ana miaka 8 anagonga Arv.
Sasa nikisoma story zenu huku za Research na nikimwangalia huyu rafk yangu naona ishu ya Kupata Maambukiz ni Mipango ya Mungu tuh wala haihusian na group la Dam
 
Inaezekana mara 100 zote hakukuepo na mchubuano unaokutanisha damu zenu. Mlikua mnakulana kama watoto
 

[emoji28][emoji28][emoji28] huwaga nacheka sana nikionaga maelezo kama haya kuhusu ukimwi. Ikitokea mtu amesex na mwathirika alaf akapimwa na kukutwa negative , lazima mje na maelezo hayo, waambieni watu ukweli aisee, anyway, hizi propaganda zina mwisho wake, siku itafika.
 
Nina shoga yangu yupo Kinondon hapa ni O-ve ana miaka 8 anagonga Arv.
Sasa nikisoma story zenu huku za Research na nikimwangalia huyu rafk yangu naona ishu ya Kupata Maambukiz ni Mipango ya Mungu tuh wala haihusian na group la Dam
FICHA HUU ujinga. Kupata UKIMWI haiwezi kuwa mipango ya Mungu.. usiwe kama Wanaosema KIFO NI SEHEMU YA MAISHA wakati ukweli KIFO NI KINYUME CHA MAISHA.
 
Labda pia una kibamia,maana wakibamia kupata ngoma nasikia sio kazi rahisi-huwa wamateleza kama kambale.
 
Ni proved info mzee articles zipo online free unaweza kufuatilia kwa muda wako binafsi ila jua kuna watu HIV hawafanyi kazi.
 
U
Nina shoga yangu yupo Kinondon hapa ni O-ve ana miaka 8 anagonga Arv.
Sasa nikisoma story zenu huku za Research na nikimwangalia huyu rafk yangu naona ishu ya Kupata Maambukiz ni Mipango ya Mungu tuh wala haihusian na group la Dam
Umeelewa lakini nilichoandika mkuu? Hakuna sehemu nimesema O -ve ni the best kwa sababu hawapati ukimwi HAKUNA kama ipo uko free kuonesha .
 
Na katika kundi lina watu wengi ni 0 tena 0+ ndio tumejazana kama vile haya magroup tulipewa bure.
 
Mimi ni group O neg ila hayo mengine uliyotaja sio kweli
 
Mbona wenye blood group O homa zinawasumbua sana?
 
Mm ni o neg, nilivyojifungua na nilivyokuwa na mimba wik 28 nilichoma hiyo sindano
 
Bado watu wengi wanashindwa kufahamu kuwa ngoni haiambukizi HIV. Kinachopelekea kuambukizwa HIV ni michubuko wakati wa ngono.

Unaweza fanya ngono na mtu mwenye HIV hata mara 1000 na bado usiambukizwe hiyo HIV. Muhimu ni utelezi na kuepuka michubuko
 
Ni ya kweli mkuu..jitahidi utakapopata ujauzito wa pili uchome hiyo sindano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…