muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,183
- 9,390
Kumbe okwi boban sunzu Ni mdada?,sikulijua hili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mdau wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega,nimekuwa nikifanya kazi mbalimbali na halmashauri hii,Waliozungumziwa katka uzi huu nawafahamu,kwa asiyejua anaeeza kuyabeba maneno haya kama yalivyo,lakini kwa mtu aliyefanya kazi ktk halmashauri nyingi Tz hii,majungu na kuchafuana kwa Sbb mbalimbali ni jambo la kawaida.
Huu ni ugomvi kati ya mtumishi na mtumishi unahamishiwa mitandaoni na kuathiri mambo ya familia na kazi,kwanza hakuna ndoa yoyote iliyovunjika. Kinacholeta fitna na huu uzushi wa huyu anayeleta kashfa humu ni sbb anahamishiwa Halmashauri ya Mji Mpya wa Nzega na yeye anataka abaki hapo Wilayani Sbb amekaa toka 2002 wakati mtumishi anatakiwa akae miaka 5 then uhamisho,lkn yeye kila akitaka kuhamishwa anafanya lobbying abaki,hizi ndio chuki zinazomfanya aamini DHRO kafanya kazi hiyo.Hizo habari za kumuhamisha mkaguzi wa ndani kwenda Katavi ni uzushi mwingine,Maaana anayehamisha ni TAMISEMI na si DHRO...anaona ngumu kuhamia Mji wa Nzega na kuanza kuzusha mambo ya uzushi
Ugomvi huu unatengenezwa na Dada mmoja anaitwa Regina Shasha ambaye ndiye Afisa Mipango wa Halmashauri,huyu anatakiwa kuhamishiwa kama Afisa Mipango mji Wa Nzega ili aachie nafasi ya Mipango Wilaya,kuhama kwake hiyo ofisi kunamtesa sana,amejaribu kuhonga sehemu ya baraza la madiwani ili wampiganie abaki,amegawa laki laki kwa sehemu ya madiwani lkn hali bado tete,anajenga bifu na HRO sababu anahisi amehusika kumuhamisha,Lkn zaidi hataki kuachia ofisi ya Mipango H/Nzega akijua kuwa msadizi wake ata-take over,ndio maana kamtengenezea zengwe msaidizi wake kuwa ndoa imevunjika..Lakin ukweli ni kuwa hakuna ndoa iliyovunjika.
Woga Wa Regina ni kuona nafasi yake H/Nzega kuchukuliwa na msaidizi wake,Maana kama ni huo "uzinzi" wanaosema hata yeye hawezi kuukwepa maana inajulikana hataki kuhama Halmashauri ya Nzega sababu ni Mchepuko wa Mkurugenzi Abrahaman Mndeme,akihamishwa hatapata "previledge" alizokuwa anazipata kwa mchepuko wake,kwa hiyo hizi ni "siasa" tu za maisha ya kazi za Halmashauri,wadau wanaojua wanaweza kumwaga mboga na kila kitu kikaeleweka lkn si kuchafuana.Wanamuonea tu huyu Jamaa,sababu hata humu mitandaoni ye Hana muda Wa kuingiaa na kujibizana,lakni tuliofanya nae kazi Biharamulo,Chato,Geita na Handeni tunamfahamu na tunasimama kumsimamia
Huyo afisa namjua sana tangu anaanza kazi na kati ya watualiofanyanao kazi hapa halmashauri ya biharamulo mfungua zipu alikuwa ni mwochi na mbeo lakini huyo hapana namtetea sana
Tony andika vizuri basi!!hahahaha wanabimlo wanamtetea
Tony andika vizuri basi!!
Kisaikolojia huyu Barafu inaonekana ndo kwezi mwenyewe (HRO) kama sio kweli aliyoandika amejisahau. Eti hana muda Wa kuingia mtandaoni kweli...mkaguzi Wa ndani kuhamishwa nalo sio kweli? Je bado yupo huyo mkaguzi? Naungana na Mandla Jr utueleze
1. Umekosana na watumishi wangapi hadi mchafuane hivi...?
Kumbe okwi boban sunzu Ni mdada?,sikulijua hili...
Mimi ni mdau wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega,nimekuwa nikifanya kazi mbalimbali na halmashauri hii,Waliozungumziwa katka uzi huu nawafahamu,kwa asiyejua anaeeza kuyabeba maneno haya kama yalivyo,lakini kwa mtu aliyefanya kazi ktk halmashauri nyingi Tz hii,majungu na kuchafuana kwa Sbb mbalimbali ni jambo la kawaida.
Huu ni ugomvi kati ya mtumishi na mtumishi unahamishiwa mitandaoni na kuathiri mambo ya familia na kazi,kwanza hakuna ndoa yoyote iliyovunjika. Kinacholeta fitna na huu uzushi wa huyu anayeleta kashfa humu ni sbb anahamishiwa Halmashauri ya Mji Mpya wa Nzega na yeye anataka abaki hapo Wilayani Sbb amekaa toka 2002 wakati mtumishi anatakiwa akae miaka 5 then uhamisho,lkn yeye kila akitaka kuhamishwa anafanya lobbying abaki,hizi ndio chuki zinazomfanya aamini DHRO kafanya kazi hiyo.Hizo habari za kumuhamisha mkaguzi wa ndani kwenda Katavi ni uzushi mwingine,Maaana anayehamisha ni TAMISEMI na si DHRO...anaona ngumu kuhamia Mji wa Nzega na kuanza kuzusha mambo ya uzushi
Ugomvi huu unatengenezwa na Dada mmoja anaitwa Regina Shasha ambaye ndiye Afisa Mipango wa Halmashauri,huyu anatakiwa kuhamishiwa kama Afisa Mipango mji Wa Nzega ili aachie nafasi ya Mipango Wilaya,kuhama kwake hiyo ofisi kunamtesa sana,amejaribu kuhonga sehemu ya baraza la madiwani ili wampiganie abaki,amegawa laki laki kwa sehemu ya madiwani lkn hali bado tete,anajenga bifu na HRO sababu anahisi amehusika kumuhamisha,Lkn zaidi hataki kuachia ofisi ya Mipango H/Nzega akijua kuwa msadizi wake ata-take over,ndio maana kamtengenezea zengwe msaidizi wake kuwa ndoa imevunjika..Lakin ukweli ni kuwa hakuna ndoa iliyovunjika.
Woga Wa Regina ni kuona nafasi yake H/Nzega kuchukuliwa na msaidizi wake,Maana kama ni huo "uzinzi" wanaosema hata yeye hawezi kuukwepa maana inajulikana hataki kuhama Halmashauri ya Nzega sababu ni Mchepuko wa Mkurugenzi Abrahaman Mndeme,akihamishwa hatapata "previledge" alizokuwa anazipata kwa mchepuko wake,kwa hiyo hizi ni "siasa" tu za maisha ya kazi za Halmashauri,wadau wanaojua wanaweza kumwaga mboga na kila kitu kikaeleweka lkn si kuchafuana.Wanamuonea tu huyu Jamaa,sababu hata humu mitandaoni ye Hana muda Wa kuingiaa na kujibizana,lakni tuliofanya nae kazi Biharamulo,Chato,Geita na Handeni tunamfahamu na tunasimama kumsimamia
Huyo afisa namjua sana tangu anaanza kazi na kati ya watualiofanyanao kazi hapa halmashauri ya biharamulo mfungua zipu alikuwa ni mwochi na mbeo lakini huyo hapana namtetea sana
Mimi ni mdau wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega,nimekuwa nikifanya kazi mbalimbali na halmashauri hii,Waliozungumziwa katka uzi huu nawafahamu,kwa asiyejua anaeeza kuyabeba maneno haya kama yalivyo,lakini kwa mtu aliyefanya kazi ktk halmashauri nyingi Tz hii,majungu na kuchafuana kwa Sbb mbalimbali ni jambo la kawaida.
Huu ni ugomvi kati ya mtumishi na mtumishi unahamishiwa mitandaoni na kuathiri mambo ya familia na kazi,kwanza hakuna ndoa yoyote iliyovunjika. Kinacholeta fitna na huu uzushi wa huyu anayeleta kashfa humu ni sbb anahamishiwa Halmashauri ya Mji Mpya wa Nzega na yeye anataka abaki hapo Wilayani Sbb amekaa toka 2002 wakati mtumishi anatakiwa akae miaka 5 then uhamisho,lkn yeye kila akitaka kuhamishwa anafanya lobbying abaki,hizi ndio chuki zinazomfanya aamini DHRO kafanya kazi hiyo.Hizo habari za kumuhamisha mkaguzi wa ndani kwenda Katavi ni uzushi mwingine,Maaana anayehamisha ni TAMISEMI na si DHRO...anaona ngumu kuhamia Mji wa Nzega na kuanza kuzusha mambo ya uzushi
Ugomvi huu unatengenezwa na Dada mmoja anaitwa Regina Shasha ambaye ndiye Afisa Mipango wa Halmashauri,huyu anatakiwa kuhamishiwa kama Afisa Mipango mji Wa Nzega ili aachie nafasi ya Mipango Wilaya,kuhama kwake hiyo ofisi kunamtesa sana,amejaribu kuhonga sehemu ya baraza la madiwani ili wampiganie abaki,amegawa laki laki kwa sehemu ya madiwani lkn hali bado tete,anajenga bifu na HRO sababu anahisi amehusika kumuhamisha,Lkn zaidi hataki kuachia ofisi ya Mipango H/Nzega akijua kuwa msadizi wake ata-take over,ndio maana kamtengenezea zengwe msaidizi wake kuwa ndoa imevunjika..Lakin ukweli ni kuwa hakuna ndoa iliyovunjika.
Woga Wa Regina ni kuona nafasi yake H/Nzega kuchukuliwa na msaidizi wake,Maana kama ni huo "uzinzi" wanaosema hata yeye hawezi kuukwepa maana inajulikana hataki kuhama Halmashauri ya Nzega sababu ni Mchepuko wa Mkurugenzi Abrahaman Mndeme,akihamishwa hatapata "previledge" alizokuwa anazipata kwa mchepuko wake,kwa hiyo hizi ni "siasa" tu za maisha ya kazi za Halmashauri,wadau wanaojua wanaweza kumwaga mboga na kila kitu kikaeleweka lkn si kuchafuana.Wanamuonea tu huyu Jamaa,sababu hata humu mitandaoni ye Hana muda Wa kuingiaa na kujibizana,lakni tuliofanya nae kazi Biharamulo,Chato,Geita na Handeni tunamfahamu na tunasimama kumsimamia