Tutakuamini vipu na wewe?
inawezekana wewe ndo mkweli
Sasa Mndeme ameshindwa kumbakiza huyo Regina wake?
aisee, penzi kitovu cha uzembe
naona mmeamua kulipuana hadharani sasa baada ya kutombeana hadi basi tena
kweli mshahara wa dhambi ni mauti
hakuna yoyote hapo msafi, ni kundi la panya buku, mnaharibu kazi, mnaharibiana ndoa na sasa mnaambukizana magonjwa ya ngono tu
wafute tu hizi halmashauri, hakuna mnachofanya zaidi ya kubanduana na kula allowances