Habari zenu, je ni kweli kwamba chuo hiki ni moja ya vyuo vyenye elimu yenye fursa kubwa za ajira kwa kua taasisi za Serikali za Mitaa ni nyingi kuanzia ngazi ya kujibu hadi jiji?
Ni nani kapitia huko na vipi naweza peleka vijana wangu? Mwenye taarifa juu ya chuo hiki kilichopo Dodoma tafadhali!
Ni nani kapitia huko na vipi naweza peleka vijana wangu? Mwenye taarifa juu ya chuo hiki kilichopo Dodoma tafadhali!