Kiriba
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 540
- 257
Mashine ya MRI sio kwamba nimbovu, model ya ile mashine ni ya Phillips ambayo hazitumiki tena duniani kwa techologia iliyopo kwa sasa. Ile mashine ni famba kwani inatumia Helium gas nyingi sana na ambayo ni shida sana kuisafirisha.
Hii gas huwezi kuisafirisha kwa ndege ni mpaka meli tu na ikifika hapa itakuwa nusu kwani ina react na humidity kubwa ya bahari.
Mama Nyoni alishauriwa wanunue mashine ya Siemen akakataa kwa kwasababu wahindi ambao ni maagent wa Phillips walikuwa wamemkatia dau kubwa sana ikabidi alazimishe mpaka muhimbili wakaipokea.
Kimsingi ile mashine haiwezi kutengamaa hata siku moja, suluhu nikununua nyingine mpya tu. Mpya ya Siemen ni $400,000 ambayo ni cheap kuliko kufanyia matengenezo hiyo iliyopo.
Kwanini mashine itengenezwe kwa Tzs 3 billion wakati tunaweza kununua nyingine 4 kwa hizo hela za matengenezo.
Naamini Kigwangala yuko huku, naomba ufuatili hii issue kiundani.
Hii gas huwezi kuisafirisha kwa ndege ni mpaka meli tu na ikifika hapa itakuwa nusu kwani ina react na humidity kubwa ya bahari.
Mama Nyoni alishauriwa wanunue mashine ya Siemen akakataa kwa kwasababu wahindi ambao ni maagent wa Phillips walikuwa wamemkatia dau kubwa sana ikabidi alazimishe mpaka muhimbili wakaipokea.
Kimsingi ile mashine haiwezi kutengamaa hata siku moja, suluhu nikununua nyingine mpya tu. Mpya ya Siemen ni $400,000 ambayo ni cheap kuliko kufanyia matengenezo hiyo iliyopo.
Kwanini mashine itengenezwe kwa Tzs 3 billion wakati tunaweza kununua nyingine 4 kwa hizo hela za matengenezo.
Naamini Kigwangala yuko huku, naomba ufuatili hii issue kiundani.