Ukweli Juu Ya Wanaomchukia Rais Magufuli

Ukweli Juu Ya Wanaomchukia Rais Magufuli

Na huyu naye ana chuki dhidi ya huyo dhalimu je alimchukulia mkewe?



Na Kikwete aliyemwambia wapinzani si maadui alimchukulia nani?

Na Mwigulu kampiga dongo humu naye alimchukulia mkewe!?

Ni hasara mmeruhusu akili zenu zitumiwe na mafisadi vile watakavyo wao.

Bado miaka 8, lazima uloose weight haki ya nani.
Hivi jamaa alikuchukulia demu uliyekuwa umepanga kumuoa nini maana chuki yako dhidi yake sio ya sayari hii.
 
Ufinyu wa akili unakusumbua wewe! Na huyu naye ana chuki dhidi ya huyo dhalimu je alimchukulia mkewe?



Na Kikwete aliyemwambia wapinzani si maadui alimchukulia nani?

Na Mwigulu kampiga dongo humu naye alimchukulia mkewe!?

Ni hasara kuwa wa wapumbavu kama wewe nchini ambao mmeruhusu akili zenu zitumike na wahuni na mafisadi vile watakavyo wao.

Pole sana aisee, tafuta njia nyingine!
Siasa haiko hivyo, kwa staili hii utagongewa sana na wanaume na utaishia kuwa na chuki tu ila la kufanya huna zaidi ya kukimbilia jf, Chuki yako ni exceptional mkuu!!
 
Ufinyu wa akili unakusumbua wewe! Na huyu naye ana chuki dhidi ya huyo dhalimu je alimchukulia mkewe?



Na Kikwete aliyemwambia wapinzani si maadui alimchukulia nani?

Na Mwigulu kampiga dongo humu naye alimchukulia mkewe!?

Ni hasara kuwa wa wapumbavu kama wewe nchini ambao mmeruhusu akili zenu zitumike na wahuni na mafisadi vile watakavyo wao.

Jana Kinana ulimuona ktk kikao cha sisiemu?? ALIKUWAPO!!
 
Mtoa mada anagombea front page ya magazine mitandaoni na ndo degree NA PhD zinazowahadaa babu NA bibi zetu vijijini ,mungu akupe fanaka maishani mwako
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Kwa kawaida ukirusha jiwe gizani ukisikia uwiiiiiiiiii.......... ujue limempata mhusika, bila shaka kila mtu kaona yupo namba ngapi duh
 
Huo utafiti ulifanyikaje.

Elezea namna ulivyofanya hadi ukapata hilo hitimisho.

La sivyo ndio ninyi wenye PhD fake mnatoa majibu mepesi kwa maswali magumu
Unge produce copy hapa au link ya hyo tafit. Otherwise you have spoken fallacy
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Usipate shida majibu yao tu hapa baada ya huu uzi utajua kariba zao..! Wengi walikuwa wanaishi kusomesha na hata kustarehe kupitia pesa za mabwana zao walizokuwa wakiiba mirija imekatwa unategemea wanaishije? Unatarajia watampenda wakati watoto wamehamishiwa shule za serikali..! Gari hawazitumii tena coz hawana pesa za mafuta.. wanajifanya wanapenda mwendo kasi zaidi..

Fuatalia matusi yao hapa. Usipate shida kujua ni watu wa aina gani..
Magufuli kanyaga twende..
 
Mimi ndo maana siku hizi kusalimia mtu mzima mpaka niwe namfahamu...otherwise unaweza ukampa mtu heshima kisa anakuzidi kumbe ndo pointless kabisa

Mpaka nimecheka kwa sauti, unaweza dhani ni mtu mzima kumbe ni kama huyu mleta mada.
 
Na pia wanaomchukia hawana sabb ya msingi zaid utaskia anabana uhuru wa vyombo vya habar mara anawaminya wapinza i,mkae mjue hakuna serikali duniani hususan za africa zinaweza kumpenda mpinzani anayebwabwàja tu,subirini siku dunia ikishuka ndo mshike dola muwapende ccm.
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Kunguni kama nyie ni wakuchoma moto ipo siku Mt atiwa na huyo magu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom