Huo utabiri sasa!Siku moja utakana maandishi yako
Huo utabiri sasa!Siku moja utakana maandishi yako
Aliyekuloga= Aliyekuroga.Kweli aliyekuloga kaka.
Suruhu=Suluhu.Meli ya wachina ipo pale bandarini bure kabisa utapata suruhu ya tatizo lako endelea kujibaraguza
Nikweli kabisa ndugu yangu mambo anayofanya rais yako wazi kabisa hakuna wa kuambiwa tazama wak as to uko uwanjani unaweza kuliza mpira unavokwenda? Si upunguwani huo acha tulioko uwanjani tunaona kila kitu hata walioko nje ya uwanja kwamaana ya nchi za nje wanafatilia hadi wanakuja kutoa pongezi kwa jpm kama biligeti mnakumbuka alitoa dola ngapi? Muogopeni mungu juu ya dhulma mnayoifanya.






Magufuli atalipia mpaka mvua za Masika mwaka huu.Kama alivyolipia kikwete tar 22 Oct 2010.
Kama alivyolipia lowassa Thailand.Magufuli atalipia mpaka mvua za Masika mwaka huu.
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Anataka viti maalumuNdo maana ID yako ni real ili akuone...!! haya kashakuona unataka zawadi gani ?


Pointless....Nashangaa mnaongelea camera utadhani ilikuwa yake, mimi nifunge camera halafu wengine wanataka iwe yao. Ungekuwa mwanasiasa ungesha gundua kuwa hiyo haikufanywa na serikali bali na chadema wenyewe. Fungua macho kijana tumia akili zako changanya na za utafiti utapata jibu kuliko kupaza sauti kwa ulicho kisikia tu kama kasuku. Eti alifanyiwa cpr aka survive wapi? Bongo hata first world cpr mitaani ni asilimia 10 tu wana survive. Amka ujue mengi.

Aisee umejuaje Haya Mambo . ?? Kweli wewe ni GT.Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Bado miaka 8, lazima uloose weight haki ya nani.Acha uongo wewe! Mbona yeye mwenyewe ni fisadi, mzembe, mkwapuzi, mwizi, lini huyu dikteta kaanza kufuata sharia za nchi? umesikia anavyochota pesa hazina bila bunge kuziidhinisha? Umesikia anavyopindisha sharia za nchi mfano swala na kufoji vyeti la Bashite, kesi ya Mnyeti kutoa rushwa, kutowagusa mafisasi akina Chenge, Tibaijuka, Lugumi, Ngeleja na wengine wengi, ukawapuzi wa bilioni 16 alioufanya wa pesa za wahanga kule Kagera. Acha uzushi tumia akili yako ipasavyo badala ya kuruhusu wahuni na mafisadi waitumie akili yako vile watakavyo wao.