Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Jamhuri ya Iran ni moja ya nchi zenye utajiri mkubwa wa mafuta, na hivyo kuipelekea nchi hivyo kubadilika kitabia kutoka Jamhuri ya Kiislamu kuwa Jamhuri ya Kigaidi, kwa sababu nchi hiyo ilishafungamana Na makundi mengi mengi ya kigaidi ambayo baadhi ni Bokko harram, Alshabab, Islamic states, Alnusurahyy front, ALQAIDA, Na Yale yaliyoko Jangwa la hasara Na kule ufilipino.
Nashauri nchi hiyo iondolewe silaha ama ibatizwa kwa moto wa B52, F16, nk kwani kuicha Irani ni kuicha dunia ikae katika ukisefu wa usalana Na amani.
BILA kuondolewa silaha hiyo nchi ya Iran tujiandae nchi yetu kutokuwa Na usalama wa kutosha hasa mikoa ya kusini mwa Tanzania.
Nitoshe kusema Iran should be demilitarized or whipped bila huruma na uoga wa kukosekana mafuta.
Nashauri nchi hiyo iondolewe silaha ama ibatizwa kwa moto wa B52, F16, nk kwani kuicha Irani ni kuicha dunia ikae katika ukisefu wa usalana Na amani.
BILA kuondolewa silaha hiyo nchi ya Iran tujiandae nchi yetu kutokuwa Na usalama wa kutosha hasa mikoa ya kusini mwa Tanzania.
Nitoshe kusema Iran should be demilitarized or whipped bila huruma na uoga wa kukosekana mafuta.