nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Hahahahaha eti ataishia kumaliza visigino kwa kucheza kwaito kweye harusi za wenzake
Mi naona km kuna ukweli ivi.
Huyu wa kuoa kweli? Judging from the figure
Mi naona km kuna ukweli ivi.
Huyu wa kuoa kweli? Judging from the figure
Mi naona km kuna ukweli ivi.
Huyu wa kuoa kweli? Judging from the figure
Sizitaki mbichi hizi, Sungura akatamka
Naona nafanya kazi, bila faida kupata
Yakamtoka machozi, ....................
mimi najikumbusha mashairi haya ya mwaka 47
dah! huyubi dada lazima aliumbwa alhamis.
unajidanganya huu ni woga wako wa kuogopa watoto wazuri utaishia kuwaita shem....
kuna wenye makalio na wana tabia nzuri na kuna hao modal wana tabia mbaya wewe ungesema wanawake tuwe na tabia nzur sio ishu za shep au kujua cub mara plot za kununua
unajidanganya huu ni woga wako wa kuogopa watoto wazuri utaishia kuwaita shem....
kuna wenye makalio na wana tabia nzuri na kuna hao modal wana tabia mbaya wewe ungesema wanawake tuwe na tabia nzur sio ishu za shep au kujua cub mara plot za kununua