Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,511
- 4,224
"Ikulu ni mahali patakatifu"
Ni moja ya kauli aliyopata kunena Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere aliyekaa ikulu kwa takriban miaka 23 akimaanisha kuwa ikulu ni mahala pa Watanzania wote pasipo kuangalia vyama vyao,Dini ama Uzanzibari na Utanganyika wao.
Anayeishi ikulu anaiwakilisha Serikali ya Watanzania wote.
Ni moja ya kauli aliyopata kunena Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere aliyekaa ikulu kwa takriban miaka 23 akimaanisha kuwa ikulu ni mahala pa Watanzania wote pasipo kuangalia vyama vyao,Dini ama Uzanzibari na Utanganyika wao.
Anayeishi ikulu anaiwakilisha Serikali ya Watanzania wote.