kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Yanga ni timu ya kichawi siku zote, hawana lolote bila uchawi hawachezi mpira. Ndiyo maana kimataifa hawana historia nzuri zaidi ya usindikizaji tu.Hawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
Mmemaliza paka wote mitaani sasa mnaita wengine wachawiHawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
Sawa wavunja nazi.Hawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
Yanga si timu ya maana, jamaa bila uchawi hawachezi mpira. Ndiyo maana kila wakicheza na Simba lazima watakuja na visingizio kibao, mara watapita geti ambalo hawastahili kupita au kuruka juu ya uwanja na kuingia uwanjani kihivyoHawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
Nyie mna kombe gani la kimataifa zaidi ya usindikizaji?Yanga ni timu ya kichawi siku zote, hawana lolote bila uchawi hawachezi mpira. Ndiyo maana kimataifa hawana historia nzuri zaidi ya usindikizaji tu.
Nyau Fc naona mnaweweseka mbayaHawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
Kwahiyo timu huwa zinashondania kombe la Ligi peke yake?Simba ambayo haitumii ushirikina inaizidi nn YANGA inayotumia ushirikina?
Makombe ya ligi
YANGA _____27
Simba ______22
Hivi mbumbumbu fc hamuonagi aibu kuona ni jambo la kawaida simba kufungwa na YANGA?
Baada ya kichapo, nyodo zote kwisha! Na yule pungasese wenu hasikiki kabisa kuanzia siku ile!Hawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
We kumbe hamnazo, Sasa Mikia Wana kombe gani zaidi Kama si haya haya tu ambayo hata Yanga anayo mengi tu.Kwahiyo timu huwa zinashondania kombe la Ligi peke yake?
Hilo jina utopolo linasadifu vilivyo akili zenu.
Akili yako mgando. Vipi kuhusu FA, Kagame, mtani jembe nk? Siyo makombe hayo?We kumbe hamnazo, Sasa Mikia Wana kombe gani zaidi Kama si haya haya tu ambayo hata Yanga anayo mengi tu.