Ukubwa wa kisanaa wa Justin Bieber ulisababishwa na nini? Je, kuna namna tu au kipaji?

Tatizo mvuto cuz wote wanaimba kitu ki1

N just alitangaza kupumzika kuimba mwanzo wa mwaka nahisi ndo vile alikua na depression n mambo ya ndoa yakaja ingia baadae lkn nahisi 2020 anarudi kuna rumors za new music.
Dogo anakula unga balaa, hajapumzika mziki wala nn yupo kwenye vituo vya kulelea mateja..
 
Hajapumzika muziki how ebu nipe nyimbo yake yoyote recently!!!!!
Nimekwambia dogo kaathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya, kama chid benz ndiyo maana huwezi kumwona akitoa new song
 
Najua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la
kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa
kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents
kama Jason Derulo & Chris Brown ambao


kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa
karibia tu.






Bieber hajapotea kapumzika coz alisema na ni mwanamziki mzuri sana



Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))

Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?

Karibuni.
 
Nimekwambia dogo kaathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya, kama chid benz ndiyo maana huwezi kumwona akitoa new song
La drugs alishalisema mwenyw na toka yuko na 19yrs ndo alinaza

N ahsante kwa taarifa
 
Aisee ..wakati mwingine JF huwezi amini wanachoandika..

Yani huu uzi utafikiri woote waliochangia ni wakolomije..

Bieber mnachukulia poa!! Hamamjui aisee...na bila shaka pia nyimbo zake hamzijui.
Me nakuona kama wewe ndie wa kolomije unayejaribu kuuvaa udarisalama,

Darling, kila mtu na msanii wake sasa kama wewe unamuelewa zaidi fulani na mwingine anamuelewa zaidi fulani, usilazimishe wote wawe na mtazamo wako.

Mf mimi katika hao woote waliotajwa hakuna wa kumfikia Callum Scot na Sam Smith, ndio niwapendao.

The shit goes to Taylor ana mashabiki wake lakini huwezi niambie nichague Taylor over Rihanna japo Riri anamkubali Taylor.
 
Uwe na wakati mzuri..
 

Attachments

  • Ed Sheeran & Justin Bieber - I Don't Care (2019) Single Mp3 Song 320kbps [PMEDIA].mp3
    8.4 MB · Views: 1
Yote tisa kumi ni Taylor Swift amevunja record ya Michael Jackson kwenye Amercan Music Awards kwa kua na jumla ya tuzo 29 na MJ alikua na 24,

Yaan Taylor, like for real??

Anyway kila nchi na mkali wao so hata Bieber unaweza usione ukali wake lakini ndie anakimbiza.
lakini pia Michael angelikuwapo basi angekua zaidi ya hapo tho sipingi point yako uko sahihi
 
Muziki ni biashara inayosimamiwa na makampuni makubwa yanayowekeza fedha nyingi yakilenga kupata faida hivyo basi masuala ya talent ni irrelevant kabisa.

Thats why WCB wamefanya mtu kama QUEEN DARLIN umjue na anapiga showa kama kawaida ili hali kuna pure talents zinakuwa wasted, the same applies to HARMONIZE, kwanini ulimsikia kila siku HARMONIZE kushinda watu ambao talents zao hazina mashaka kama Barnaba Boy na BELLE 9?

Jibu ni hilohilo moja kuwa uwekezaji unaofanywa na kampuni husika inayomsimamia mwanamuziki huchangia sana kwenye sanaa ya msanii husika.
kiasi hili lina ukweli
 
Aisee ..wakati mwingine JF huwezi amini wanachoandika..

Yani huu uzi utafikiri woote waliochangia ni wakolomije..

Bieber mnachukulia poa!! Hamamjui aisee...na bila shaka pia nyimbo zake hamzijui.
leta facts wacha mboyoyo mingi
 
Yote tisa kumi ni Taylor Swift amevunja record ya Michael Jackson kwenye Amercan Music Awards kwa kua na jumla ya tuzo 29 na MJ alikua na 24,

Yaan Taylor, like for real??

Anyway kila nchi na mkali wao so hata Bieber unaweza usione ukali wake lakini ndie anakimbiza.

Huyo Taylor Swift wamempa kazi maalumu ya kupromoti lgbtq society ndio maana wana mpaisha.
 
Back
Top Bottom