ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
- Thread starter
- #21
nadhani hayupo kwenye spotlight for 3yrs sasa hata kipindi anatangza kupumzk hakuwa kwenye ile peak takeTatizo mvuto cuz wote wanaimba kitu ki1
N just alitangaza kupumzika kuimba mwanzo wa mwaka nahisi ndo vile alikua na depression n mambo ya ndoa yakaja ingia baadae lkn nahisi 2020 anarudi kuna rumors za new music.
Na niliskia anaanda gospel album , naona gospel ndo imekua uchochoro Wa attention seekers