Ukristo unahubiri upendo, je huu ni upendo wa aina gani? Au huu ni Ukristo wa aina gani?

Hao mapepo bila kichapo hawasikii
 
Utaambiwa huna jicho la kiroho!
 
Huu ni upendo mkubwa sana, imagine unachapwa na askofu na nabii na mtume huku muziki wa wana praise ukipigwa.
Hayo makanisa ukipata kuguswa na nabii lazima ukashuhudie mtaani.
Ni mungu kabisa hao manabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…