Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Hii ni fake news!Kwasababu ni za uongo au, maana Kuna taarifa nyingine wamekanusha
Hii ni fake news!Kwasababu ni za uongo au, maana Kuna taarifa nyingine wamekanusha
Mbona hutaki kuweka masalia yake tuone?"hypersonic ilitunguliwa ikiwa katika stage ya speed ndogo mwishoni kabisa haikutunguliwa ikiwa..."
Cha muhimu imetunguliwa. Hayo mengine Sisi hayatuhusu.
Kwa jinsi mnavyoisifia na kuitukuza Urusi. Ndiyo tatizo la kuwa na Fuvu bovu linaloshindwa kujiulizaa kwa ukubwa na urusi na udogo wa ukreini kwanini mpaka leo bado Vita inaendelea zaidi ya mwaka.Hii habari wataelewa tu mazezeta wa west. Wakati aliyetengeneza patriotic anakiri haziwezi kuintercept hizo missile chawa mnadai mmefanikiwa kuintercept. Uchawa kazi sana.
Ballistic missiles hazijaanza kutunguliwa Leo.
Hypersonic haijawahi tumikaTimu western si huwa mnawazoa ma pro wa urusi kuwa hypersonic missiles ni uongo
Sasa sisi tusiofungamana na upande wowote tuamini zipo, mmedungua au hawajawahi kuwa nazo
Ni wewe na jukumu lako kuthibitisha halijalipuliwa, sisi tumethibitisha na picha tumekuwekeaNataka nione mabaki ya hiyo hypersonic iliyotunguliwa![]()
Wanajifanya hawaoni.Kama ambavyo yale mapipa ya gongo S-400 yalivyoshindwa hapo Ukraine.
1st Evidence Of Russia’s S-400 ‘Triumf’ Defense System ‘Destroyed’ In Ukraine War Surfaces On Social Media
1st Evidence Of Russia’s S-400 ‘Triumf’ Defense System ‘Destroyed’ In Ukraine War Surfaces On Social Media
Hata Mrusi wa Marekani atakataa,huu uongo wa beberu Marekani 🤔Hakuna Mrusi wa Buza atakayekubali hii taarifa.
I dont care unacho zungumza - for a starter leo hii Uktaine yenyewe imekiri kwamba habari zenyewe ni fake - kama huna umeshindwa kutambua kwamba wananacho dai ni hypersonic war head ni zege walilo mould kwa kutumia patterns zinazo fanana na hypersonic war head ili kugiribu watu wenye upeo mdogo wa masuala ya forge and foundry technology - kumbuka si kila mtu ni mjinga kiasi hicho - angalia wanao ku-support "birds of a feather"- hawana hata muda wa kutafakari mambo kiundani kwanza - mradi umeisema Merikani watasema chochote kinacho X their mind - majority wala hawajawahi kuvuka hata Atlantic wala Pacific labda kwa ungo au tiara - lakini wanajifanya wanafahamu masuala yote ya utawala wa Merikanini like back of their hands - ulaghai mtupu!!!Maelezo mengi Ila pumba tupu,unashindwa kujua details ndogo ndogo kama Kinzal ni aero ballistic missiles Ila warusi wakaamua kuipachika jina la Hypersonic missile ikiwa haina sifa zote za Hypersonic missile.
Zile ballistic missiles za Iran zinatembea kwa hypersonic speed lakini Iran wenyewe hawaziiti Hypersonic missile unadhan kwanini?! Punguza mahaba!
Huo uchawi ambao Babu Putin kawaroga sio wa nchi hiiI dont care unacho zungumza - for a starter leo hii Uktaine yenyewe imekiri kwamba habari zenyewe ni fake - kama huna umeshindwa kutambua kwamba wananacho dai ni hypersonic war head ni zege walilo mould kwa kutumia patterns zinazo fanana na hypersonic war head ili kugiribu watu wenye upeo mdogo wa masuala ya forge and foundry technology - kumbuka si kila mtu ni mjinga kiasi hicho - angalia wanao ku-support "birds of a feather"- hawana hata muda wa kutafakari mambo kiundani kwanza - mradi umeisema Merikani watasema chochote kinacho X their mind - majority wala hawajawahi kuvuka hata Atlantic wala Pacific labda kwa ungo au tiara - lakini wanajifanya wanafahamu masuala yote ya utawala wa Merikanini like back of their hands - ulaghai mtupu!!!
Wajinga Sana, wakielimishwa wataelewaSisi tunaona kinyago cha zege na unene wake - leo hii nani anaweza kuamini propaganda hiziza kitoto - ni afadhali wasingepiga picha za kinyago cha zege ambacho wao wanadai eti ni Russian hypersonic sijui version gani kuliko kujidhalilisha na adithi za Alinacha - tatizo lao kubwa ni kutapatapa kwao ili kudhiliiishia Dunia kwamba Patriot zaidi!!! Ulaghai mtupu, watu wanao fahamu vizuri mfumo wa Patriot walisha sema mara nyingi tu kwamba Patriot haina uwezo wa ku-intercept wala kufanya chochote dhidi ya makombora ya Patriot hata Wamerika wenyewe walidha kiri mara nyingi tu kwamba kwenye AD systems zao hakuna hata moja yenye uwezo wa kudhibiti makombora hayo ya Urusi - sasa sisi watu baki pamoja na Al Jazeera tuna uwezo gani wa kubishana na Majenerali wa Kimerikani - Patriot zinazo shindwa hata kudhibiti home made roketis za wanamgambo wa Yemeni, leo hiii nfio Patriot wajifanyewe wanaweza kutungua hypersonic missiles za Warusi - kweli, hayo wananganye watu ambao upeo wao ni mdogo.
Ze kukoyo ana sauti kama T14 ArmataPro nato polen sana
Masikitiko kwa putin hafanikiwi kila afanyaloUongo huu ulio graduate
Hamna akili ya kuchambua ukweli na propaganda.
It only fly hypersonic during mid-course when it is above the atmosphere BUT at terminal phase,it will slow down to supersonic speed to better acquire the target. Once it slows down,Patriot can intercept it just like any other ballistic missile.Hamna akili ya kuchambua ukweli na propaganda.
1. Kombora linasafiri kwa mac 10. Ukraine haina defence missile zaidi ya mac 3
2. Yaani Kombora liwe na speed x10 ya mwanga halafu ligongwe libaki na tundu kama ya Nazi
NB: Viongozi wa jeshi LA Ukraine wameishakanusha taarifa hii.