Ukraine yatungua Hypersonic missile ya Urusi

Ukraine yatungua Hypersonic missile ya Urusi

Mkuu kumbe upo?

Upo kimya sana. Jukwaa la kimataifa umeadimika sana.
Amekuta mambo si mambo,kiranja wa dunia anashikishwa adabu.
20230413_223055.jpg
 
Hizo ni propaganda!! Ingekuwa ni kweli BBC na CNN wangekuwa wa kwanza kuripoti hiyo!! Hiyo taarifa toka ukraine wanayo lakini wakaona wasiingie mkenge wakaminya!! Aljazeera ndo kaingia kichwa kichwa kutangaza propaganda za ukraine!!
Ukraine says it used US-made Patriot system to intercept Russian hypersonic missile
By Maria Kostenko and Nick Paton Walsh, CNN
Updated 8:25 AM EDT, Sat May 06, 2023
A Patriot air defense system, pictured in Germany in January.

(CNN)Ukraine says it has for the first time used a US-made Patriot air defense system to intercept a Russian hypersonic missile.
Ukraine says it used US-made Patriot system to intercept Russian hypersonic missile | CNN
 
Ukraine wenyewe wametengua kauli, hii ni fake news!!
Wajukuu wa babu hamuamini mnachokiona.

Ukraine wamekiri Leo,vyombo vingi vya kimaitaifa wameandika hii habari

Ukraine announced on Saturday that it has downed a Russian hypersonic Kinzhal missile for the first time amid continuous attacks by Moscow that took place in the night between last Wednesday and Thursday in Kyiv.
Explained | Ukraine downs Russia’s hypersonic Kinzhal missile. Here’s all you need to know
 
Ukraine imesema imefanikiwa kutungua kombora la hypersonic Aina ya Kinzal lililorushwa na Urusi wiki hii huko Kyiv.
Ha ha hahahaha AA! Mkuu, upo. Kitambo sana.
===
Kwenye mada. Mkuu, kumbe bado haujautafuta ukweli mida wote huo? Umeniangusha. Hizi habari za waUkraine kuangusha hiyo kombora nitaziamini nikipata ushahidi wa kuridhisha. Kwa Sasa naona blah blah!
 
Kwanza unajua maana ya "hypersonic" pili unajua kwanini mpaka leo marekani kafeli kuzitengeneza?
Kinzal ni air launched ballistic missile ambayo ina accelerate kufikia hypersonic speed hizo za Hypersonic missile ni propaganda Tu za Urusi.

Ina characteristics zote za ballistic missiles kama kufata ballistic trajectory, hypersonic missiles hazifati ballistic trajectory.
 
Ha ha hahahaha AA! Mkuu, upo. Kitambo sana.
===
Kwenye mada. Mkuu, kumbe bado haujautafuta ukweli mida wote huo? Umeniangusha. Hizi habari za waUkraine kuangusha hiyo kombora nitaziamini nikipata ushahidi wa kuridhisha. Kwa Sasa naona blah blah!
Likitunguliwa la pili utaamini. Jipe muda vita bado mbichi hii.
 
Ha ha hahahaha AA! Mkuu, upo. Kitambo sana.
===
Kwenye mada. Mkuu, kumbe bado haujautafuta ukweli mida wote huo? Umeniangusha. Hizi habari za waUkraine kuangusha hiyo kombora nitaziamini nikipata ushahidi wa kuridhisha. Kwa Sasa naona blah blah!
"I congratulate the Ukrainian people on the historic event," said Ukrainian Air Force Commander General Mykola Oleshchuk on Telegram. "Yes, we shot down the 'unparallelled' Kinzhal' missile," he added.
 
Sisi tunaona kinyago cha zege na unene wake - leo hii nani anaweza kuamini propaganda hiziza kitoto - ni afadhali wasingepiga picha za kinyago cha zege ambacho wao wanadai eti ni Russian hypersonic sijui version gani kuliko kujidhalilisha na adithi za Alinacha - tatizo lao kubwa ni kutapatapa kwao ili kudhiliiishia Dunia kwamba Patriot zaidi!!! Ulaghai mtupu, watu wanao fahamu vizuri mfumo wa Patriot walisha sema mara nyingi tu kwamba Patriot haina uwezo wa ku-intercept wala kufanya chochote dhidi ya makombora ya Patriot hata Wamerika wenyewe walidha kiri mara nyingi tu kwamba kwenye AD systems zao hakuna hata moja yenye uwezo wa kudhibiti makombora hayo ya Urusi - sasa sisi watu baki pamoja na Al Jazeera tuna uwezo gani wa kubishana na Majenerali wa Kimerikani - Patriot zinazo shindwa hata kudhibiti home made roketis za wanamgambo wa Yemeni, leo hiii nfio Patriot wajifanyewe wanaweza kutungua hypersonic missiles za Warusi - kweli, hayo wananganye watu ambao upeo wao ni mdogo.
Maelezo mengi Ila pumba tupu,unashindwa kujua details ndogo ndogo kama Kinzal ni aero ballistic missiles Ila warusi wakaamua kuipachika jina la Hypersonic missile ikiwa haina sifa zote za Hypersonic missile.

Zile ballistic missiles za Iran zinatembea kwa hypersonic speed lakini Iran wenyewe hawaziiti Hypersonic missile unadhan kwanini?! Punguza mahaba!
 
Wajukuu wa babu hamuamini mnachokiona.

Ukraine wamekiri Leo,vyombo vingi vya kimaitaifa wameandika hii habari

Ukraine announced on Saturday that it has downed a Russian hypersonic Kinzhal missile for the first time amid continuous attacks by Moscow that took place in the night between last Wednesday and Thursday in Kyiv.
Explained | Ukraine downs Russia’s hypersonic Kinzhal missile. Here’s all you need to know
Nimeipitia habari yote kwenye link
===
Haya ni maneno yaliyosemwa na Mkuu wa kamandi ya anga ya Ukraine
"said Ukrainian Air Force Commander General Mykola Oleshchuk on Telegram. "Yes, we shot down the 'unparallelled' Kinzhal' missile," he added
===

Hivi hiyo khinzal iliyotunguliwa imeyeyukia hewani kwa hiyo chini yamefikia majivu? Hakuna Hata kipande kimeokotwa kudhibitisha hili? Pia je Mkuu Kwa kuwa upo Karibu na command centre ya Ukraine unaweza kuwashawishi watupe coordinate za eneo ilipotunguliwa hiyo khinzal!?

Asante.
 
Nimeipitia habari yote kwenye link
===
Haya ni maneno yaliyosemwa na Mkuu wa kamandi ya anga ya Ukraine
"said Ukrainian Air Force Commander General Mykola Oleshchuk on Telegram. "Yes, we shot down the 'unparallelled' Kinzhal' missile," he added
===

Hivi hiyo khinzal iliyotunguliwa imeyeyukia hewani kwa hiyo chini yamefikia majivu? Hakuna Hata kipande kimeokotwa kudhibitisha hili? Pia je Mkuu Kwa kuwa upo Karibu na command centre ya Ukraine unaweza kuwashawishi watupe coordinate za eneo ilipotunguliwa hiyo khinzal!?

Asante.
Acha uvivu,picha za mabaki zipo huko online zilianza kuzagaa tangu juzi. Ukraine wamekiri Leo.

How much damage can a Kinzhal missile cause?
Although Russia has claimed that the missile is among “next generation” systems, however, experts in the West say that these claims are exaggerated.

The Centre for Strategic and International Studies states that “Russia’s designation of the Kinzhal as a ‘hypersonic’ missile is somewhat misleading, as nearly all ballistic missiles reach hypersonic speeds… at some point during their flight.”

Even though Kinzhal is considered as a dangerous weapon, most analysts agree that it is not very different from weapons which have been in use for decades.

Explained | Ukraine downs Russia’s hypersonic Kinzhal missile. Here’s all you need to know
 
Acha uvivu,picha za mabaki zipo huko online zilianza kuzagaa tangu juzi. Ukraine wamekiri Leo.
Mkuu unajua kabisa Mimi si mvivu wa kusoma maandiko. Hii link uliyoweka habari nimeisoma yote na Hata video iliyo kwenye link hiyo yenye dakika kumi nineitazama pia Hakuna mahali wameonyesha mabaki ya Khinzal.
===
Ili kufupisha mjadala tuweke hizo picha hapa. Asante.
 
Back
Top Bottom