Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,145
- 3,765
ni dhahiri sasa Rusia wameamua kudeal na Soft targets.
makombora zaid ya 80 yalio rushwa hovyo hovyo mengine yameanguka barabarani mengine nyikani mengine kwenye majengo ya raia mengine yamedunguliwa.
haya makombora hata nusu yake yangepiga mstar wa mbele nafkir huenda wangekua wamefanya kitu cha maana labda.
Jana Ukraine limesonga mbele na wamekomboa vijiji 7 huko mkoa wa Luhanskn.
Vijiji hivyo ni Novoliubivka, Nevske, Hrekivka, Novoiehorivka, Nadiia, Andriivka, na Stelmakhivka, amesema Gavana wa mkoa wa Luhansk Haidai. lakini pia 'geolocation' ya picha inathibitisha madai hayo.
Jeshi la Ukraine lilipo komboa mji wa Lyman huko mkoa wa Donetsk mnamo Oktoba 1, ambapo, kulingana na Haidai, iliunda ngome inayoisaidia Ukraine kusonga mbele katika mkoa wa Luhansk.
View attachment 2382658
makombora zaid ya 80 yalio rushwa hovyo hovyo mengine yameanguka barabarani mengine nyikani mengine kwenye majengo ya raia mengine yamedunguliwa.
haya makombora hata nusu yake yangepiga mstar wa mbele nafkir huenda wangekua wamefanya kitu cha maana labda.
Jana Ukraine limesonga mbele na wamekomboa vijiji 7 huko mkoa wa Luhanskn.
Vijiji hivyo ni Novoliubivka, Nevske, Hrekivka, Novoiehorivka, Nadiia, Andriivka, na Stelmakhivka, amesema Gavana wa mkoa wa Luhansk Haidai. lakini pia 'geolocation' ya picha inathibitisha madai hayo.
Jeshi la Ukraine lilipo komboa mji wa Lyman huko mkoa wa Donetsk mnamo Oktoba 1, ambapo, kulingana na Haidai, iliunda ngome inayoisaidia Ukraine kusonga mbele katika mkoa wa Luhansk.
View attachment 2382658