Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Comedian Zelensky anakutesa sio,na bado.Haha mabwege yanatutesa kweli kweli mpaka nimeanza kunywa beer mamaee, patrol = bia aina ya pilsner 3 na chenji inabaki ya JoJo
Comedian Zelensky anakutesa sio,na bado.Haha mabwege yanatutesa kweli kweli mpaka nimeanza kunywa beer mamaee, patrol = bia aina ya pilsner 3 na chenji inabaki ya JoJo
Imezamishwa na Nyangumi na Pweza.Imeandikwa wapi imelipuliwa?
Naona kichwa imejaa propaganda za mabeberuImezamishwa na Nyangumi na Pweza.
Ngoja nasikia wameondoa zingine na kuzirejesha kwenye eneo lao kitendo kinachothibitisha kwamba imepigwa na kombora la adui kwani wasingeondoa hizo nazo zingezamishwa vilevile.Wako kwenye denial,wanashindwa kukataa kuwa meli haijazama,wanachojaribu kujifariji ni kutafuta sababu ya hiyo meli kuzama,acha tuwaambie kabisa Meli imezamishwa na Nyangumi ili wajisikie vizuri.
Mkuu umeamua utunge story ili ujumbe uwafikie .Hii vita inanikumbusha mbali sana, enzi nikiwa mwanafunzi wa shule ya msingi, kuna siku nimemzingua dogo mmoja ambaye nilikua namdharau kisa mfupi na mdogo, ila kilichofatia nilijikuta natamani tutenganishwe maana nilikua naishiwa pumzi, dogo alijitutumua kishenzi hachoki mpuzi halafu wanafunzi wanashabikia badala ya kufanya busara ya kututenganisha, nusra nife.