Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,231
- 55,474
Labda hukuyakuta hayo mambo kwenye ukoo wenu.N jambo jema kukutana, mm nadhani kuna mambo siyapi kipaumbele tuu
Labda hukuyakuta hayo mambo kwenye ukoo wenu.N jambo jema kukutana, mm nadhani kuna mambo siyapi kipaumbele tuu
et msosi tu magonjwa, sherehe, n.k tunamchango kwenye M-MKOBA kila mweziNi kwa ajili ya msosi tu au kuna watu mnapanga kuwasapoti labda wana wagonjwa hivi...
Akili kichwani mwenetuet msosi tu magonjwa, sherehe, n.k tunamchango kwenye M-MKOBA kila mwezi
Kabisa!hivi unajua hiyo ni ibaada ya kujengelea
hakikaAnzisha movement ya kupinga jambo Hilo kwanini wakugeuze kitega uchumi
Sanaaamkuu unapenda ubwabwa?
Eka mbeSisi kila mwaka kuna kikao, kuna michango tunatoaga na watu wanayaheshimu sana.
siku ukitusua kimaisha wasahau na wewSina mchango wowote maana wanajua sina pesa kwa hiyo huwa wanaitana tu halafu "wananisahau"
bora hivyWangetoa kwa kaya