Ukonga waapa kiama ya CCM ni October, Meya Silaa kitanzini

Ukonga waapa kiama ya CCM ni October, Meya Silaa kitanzini

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Hali ya mawasiliano katika jimbo la Ukonga DSM imezidi kuharibika kutokana na ubovu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa wiki moja.

Barabara zote kuu za kuingia jimboni Ukonga hazipitiki zikiwemo barabara za Banana Kivule,Banana Kitunda,Banana Machimbo,Mombasa Kwa Mkolemba,Mombasa Kwa diwani nk

Hali hii imesababisha wananchi kuamka saa nane za usiku na kutembea kwa miguu kuwahi makazini

Wananchi wameilaani vikali CCM yenye mbunge na madiwani wote ambao wameshindwa kabisa kujua kipaumbele cha watu wa Ukonga.

Pia wananchi wamemlaani vikali meya wa manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ameshindwa kusimamia hata ujenzi wa barabara moja ya Ukonga huku bila aibu akipitapita na kujitangaza kwamba atagombea Ubunge jimbo la Ukonga.

Jimbo la Ukonga lipo Manispaa ya Ilala na Jerry Silaa ni meya wake na pia ni mmoja wa madiwani wa Ukonga.

Wananchi wameapa adhabu pekee inayostahilili unyama huu ni kukinyima CCM kura za Ubunge na nafasi zote za udiwani na kuwapa UKAWA.

Mbunge wa sasa wa Jimbo hilo Mama Eugene Mwaiposa hashtushwi kabisa na mateso ya watu wa Ukonga,hakutani na wananchi na wala haishi Ukonga.Mwaka jana alipopolewa kwa mawe eneo la Kivule baada ya daraja kuvunjika na yeye kuja kukejeli wananchi wa eneo hilo.

Mbunge wa sasa wa Ukonga Mama Mwaiposa ameshindwa kabisa kutuwakilisha wananchi wa Ukonga. Na hii ni kutokana na uwezo wake mdogo sana alionao. Kutokana na uwezo mdogo alionao hata hakustahili kuwa mgombea wa ccm lakini kwakuwa Mzee Makamba (Katibu Mkuu ccm) alikuwa na maslahi nae alifanya kila mbinu akateuliwa na baadae kushinda ubunge kwa wizi wa kura na uchakachuaji mkubwa.

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gongolamboto ndani ya Jimbo la Ukonga nae ni mzigo mwingine tulionao wananchi wa Jimbo la Ukonga.

Meya ameshindwa kabisa kusaidia hata upatikanaji wa magreda ya kukwangua barabara za Jimbo ili angalau zifae kupitika katika kipindi chote cha mwaka. Manispaa ya Ilala inamiliki mitambo mbalimbali ya ujenzi kwahiyo kilichohitajika ni maelejezo tu ili barabara zetu zichongwe, kwakuwa suala la kuziwekea lami ni jambo gumu sana kwao wote wawili Mwaiposa na Jerry!

Sasa katika maajabu ya dunia eti hawa viongozi wawili ambao kimsingi wamekuwa ni mizigo isiyobebeka katika Jimbo letu, eti nao wanataka Ubunge!Mwaiposa amepewa miaka mitano lakini performance yake ni zero halafu anataka tena!? Jerry amekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala kwa miaka mitano lakini performance yake ni zero. Ni hivi karibuni tu alitimuliwa kwenye kamati ya PAC baada ya kushindwa kuonyesha zilipo sh.12bilioni za vijana kwenye manispaa ya Ilala anayoiongoza.

Lakini jambo moja ni kuwa maccm yameendelea kuifanya kazi yetu kuwa nyepesi kwakuwa wagombea wao wote ni mizigo isiyobebeka na hao ndio wanataka kuiongoza Ukonga. This time aroundtutawanyorosa tu si Mwaiposa wala Jerry!
 
Last edited by a moderator:
Hali ya mawasiliano katika jimbo la Ukonga DSM imezidi kuharibika kutokana na ubovu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa wiki moja.

Barabara zote kuu za kuingia jimboni Ukonga hazipitiki zikiwemo barabara za Banana Kivule,Banana Kitunda,Banana Machimbo,Mombasa Kwa Mkolemba,Mombasa Kwa diwani nk

Hali hii imesababisha wananchi kuamka saa nane za usiku na kutembea kwa miguu kuwahi makazini

Wananchi wameilaani vikali CCM yenye mbunge na madiwani wote ambao wameshindwa kabisa kujua kipaumbele cha watu wa Ukonga.

Pia wananchi wamemlaani vikali meya wa manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ameshindwa kusimamia hata ujenzi wa barabara moja ya Ukonga huku bila aibu akipitapita na kujitangaza kwamba atagombea Ubunge jimbo la Ukonga.

Jimbo la Ukonga lipo Manispaa ya Ilala na Jerry Silaa ni meya wake na pia ni mmoja wa madiwani wa Ukonga.

Wananchi wameapa adhabu pekee inayostahilili unyama huu ni kukinyima CCM kura za Ubunge na nafasi zote za udiwani na kuwapa UKAWA.

Mbunge wa sasa wa Ukonga Mama Mwaiposa ameshindwa kabisa kutuwakilisha wananchi wa Ukonga. Na hii ni kutokana na uwezo wake mdogo sana alionao. Kutokana na uwezo mdogo alionao hata hakustahili kuwa mgombea wa ccm lakini kwakuwa Mzee Makamba (Katibu Mkuu ccm) alikuwa na maslahi nae alifanya kila mbinu akateuliwa na baadae kushinda ubunge kwa wizi wa kura na uchakachuaji mkubwa.

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gongolamboto ndani ya Jimbo la Ukonga nae ni mzigo mwingine tulionao wananchi wa Jimbo la Ukonga.

Meya ameshindwa kabisa kusaidia hata upatikanaji wa magreda ya kukwangua barabara za Jimbo ili angalau zifae kupitika katika kipindi chote cha mwaka. Manispaa ya Ilala inamiliki mitambo mbalimbali ya ujenzi kwahiyo kilichohitajika ni maelejezo tu ili barabara zetu zichongwe, kwakuwa suala la kuziwekea lami ni jambo gumu sana kwao wote wawili Mwaiposa na Jerry!

Sasa katika maajabu ya dunia eti hawa viongozi wawili ambao kimsingi wamekuwa ni mizigo isiyobebeka katika Jimbo letu, eti nao wanataka Ubunge!Mwaiposa amepewa miaka mitano lakini performance yake ni zero halafu anataka tena!? Jerry amekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala kwa miaka mitano lakini performance yake ni zero. Ni hivi karibuni tu alitimuliwa kwenye kamati ya PAC baada ya kushindwa kuonyesha zilipo sh.12bilioni za vijana kwenye manispaa ya Ilala anayoiongoza.

Lakini jambo moja ni kuwa maccm yameendelea kuifanya kazi yetu kuwa nyepesi kwakuwa wagombea wao wote ni mizigo isiyobebeka na hao ndio wanataka kuiongoza Ukonga. This time aroundtutawanyorosa tu si Mwaiposa wala Jerry!
 
Last edited by a moderator:
Mbunge wa sasa wa Ukonga Mama Mwaiposa ameshindwa kabisa kutuwakilisha wananchi wa Ukonga. Na hii ni kutokana na uwezo wake mdogo sana alionao. Kutokana na uwezo mdogo alionao hata hakustahili kuwa mgombea wa ccm lakini kwakuwa Mzee Makamba (Katibu Mkuu ccm) alikuwa na maslahi nae alifanya kila mbinu akateuliwa na baadae kushinda ubunge kwa wizi wa kura na uchakachuaji mkubwa.

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gongolamboto ndani ya Jimbo la Ukonga nae ni mzigo mwingine tulionao wananchi wa Jimbo la Ukonga.

Meya ameshindwa kabisa kusaidia hata upatikanaji wa magreda ya kukwangua barabara za Jimbo ili angalau zifae kupitika katika kipindi chote cha mwaka. Manispaa ya Ilala inamiliki mitambo mbalimbali ya ujenzi kwahiyo kilichohitajika ni maelejezo tu ili barabara zetu zichongwe, kwakuwa suala la kuziwekea lami ni jambo gumu sana kwao wote wawili Mwaiposa na Jerry!

Sasa katika maajabu ya dunia eti hawa viongozi wawili ambao kimsingi wamekuwa ni mizigo isiyobebeka katika Jimbo letu, eti nao wanataka Ubunge!Mwaiposa amepewa miaka mitano lakini performance yake ni zero halafu anataka tena!? Jerry amekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala kwa miaka mitano lakini performance yake ni zero. Ni hivi karibuni tu alitimuliwa kwenye kamati ya PAC baada ya kushindwa kuonyesha zilipo sh.12bilioni za vijana kwenye manispaa ya Ilala anayoiongoza.

Lakini jambo moja ni kuwa maccm yameendelea kuifanya kazi yetu kuwa nyepesi kwakuwa wagombea wao wote ni mizigo isiyobebeka na hao ndio wanataka kuiongoza Ukonga. This time aroundtutawanyorosa tu si Mwaiposa wala Jerry!

Asante sana Kamanda kwa nyama hii uliyoiongeza!
 
Last edited by a moderator:
Jery Silaa yuko na siasa za hovyo sana Ukonga mkataeni Maccm yamechoka.
 
Hapa ndipo ninawashangaa wanasiasa wa ugambani, yaani mtu amefeli kwenye u meya, leo anajipitisha tena kutaka ubunge. Mayor ana influnce kubwa sana katika allocation ya fedha za halmashauri, sasa hapo tayari ni failure, nadhani silaha pekee ya watu wa ukonga ni kuikataa ccm na si vinginevyo
 
Nilikuwa huko Juzi barabara ni mbaya mno,utafikiri sio ndani ya jiji...ukiwaona jerry slaa huwezi jua kama yeye ndio jimboni kwake hali ni mbaya hvo...au ni yale makengeza yake yanamfanya haoni?au kwa kuwa anatembelea v8 basi haoni tabu ya ubovu wa barabara?Wananchi wa ukonga kwa kauli mboja tuseme yatosha october.
 
Siasa hiz bhnaaa, Leo mnalaumu mbunge na madiwan wa Ukonga ambao ni Ccm ila hali inakuwa tofauti kwa Mbunge wa Ubungo kwa kero ya maji jimboni kwake.
Nyie machadema watu ajabu sana na cjui mnapata wapi ujasir wa kuwasemea wananchi wa Ukonga
 
Hapa ndipo ninawashangaa wanasiasa wa ugambani, yaani mtu amefeli kwenye u meya, leo anajipitisha tena kutaka ubunge. Mayor ana influnce kubwa sana katika allocation ya fedha za halmashauri, sasa hapo tayari ni failure, nadhani silaha pekee ya watu wa ukonga ni kuikataa ccm na si vinginevyo

Mtu ameshndwa kufanya kazi na kuonyesha result kwenye Umeya,mnampa ubunge wa nin?Utakuwa ni uwendawazimu...#ukongaoctobe2015yatosha
 
Mbunge wa sasa wa Ukonga Mama Mwaiposa ameshindwa kabisa kutuwakilisha wananchi wa Ukonga. Na hii ni kutokana na uwezo wake mdogo sana alionao. Kutokana na uwezo mdogo alionao hata hakustahili kuwa mgombea wa ccm lakini kwakuwa Mzee Makamba (Katibu Mkuu ccm) alikuwa na maslahi nae alifanya kila mbinu akateuliwa na baadae kushinda ubunge kwa wizi wa kura na uchakachuaji mkubwa.

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gongolamboto ndani ya Jimbo la Ukonga nae ni mzigo mwingine tulionao wananchi wa Jimbo la Ukonga.

Meya ameshindwa kabisa kusaidia hata upatikanaji wa magreda ya kukwangua barabara za Jimbo ili angalau zifae kupitika katika kipindi chote cha mwaka. Manispaa ya Ilala inamiliki mitambo mbalimbali ya ujenzi kwahiyo kilichohitajika ni maelejezo tu ili barabara zetu zichongwe, kwakuwa suala la kuziwekea lami ni jambo gumu sana kwao wote wawili Mwaiposa na Jerry!

Sasa katika maajabu ya dunia eti hawa viongozi wawili ambao kimsingi wamekuwa ni mizigo isiyobebeka katika Jimbo letu, eti nao wanataka Ubunge!Mwaiposa amepewa miaka mitano lakini performance yake ni zero halafu anataka tena!? Jerry amekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala kwa miaka mitano lakini performance yake ni zero. Ni hivi karibuni tu alitimuliwa kwenye kamati ya PAC baada ya kushindwa kuonyesha zilipo sh.12bilioni za vijana kwenye manispaa ya Ilala anayoiongoza.

Lakini jambo moja ni kuwa maccm yameendelea kuifanya kazi yetu kuwa nyepesi kwakuwa wagombea wao wote ni mizigo isiyobebeka na hao ndio wanataka kuiongoza Ukonga. This time aroundtutawanyorosa tu si Mwaiposa wala Jerry!

Kiongozi akishakuwa na kinasaba cha ccm tayari anakuwa sumu kwa wananchi na anakiwa adui wa wananchi. Inakuwaje Arusha mjini madiwani tu wananunua faster Greda halafu Ukonga ipo mjini inashindwa?

Jimboni kwetu Arumeru mashariki hatuna greda lakini mbunge amekodi greda na sasa kuna mpango wa kuomba greda ya Kwa m/kiti Kamanda Mbowe hai ili kuja kulima barabara zilizosalia.

Kwanini hili linawezekana Meru linashindikana ukonga? Jibu ni moja tu ccm imeshindwa kusaidia watu maana haina utashi huo. Kwasasa ccm hawana Upendo kwa wananchi tena Ukonga pumzisheni ccm
 
Last edited by a moderator:
Jery Silaa yuko na siasa za hovyo sana Ukonga mkataeni Maccm yamechoka.

Kwa mateso watu wa Ukonga wanayopata watakuwa vichaa kuichagua tena CCM
 
Hapa ndipo ninawashangaa wanasiasa wa ugambani, yaani mtu amefeli kwenye u meya, leo anajipitisha tena kutaka ubunge. Mayor ana influnce kubwa sana katika allocation ya fedha za halmashauri, sasa hapo tayari ni failure, nadhani silaha pekee ya watu wa ukonga ni kuikataa ccm na si vinginevyo

Na kiukweli wamefunguka kwa sababu kwenye uchaguzi wa mitaa Chadema wamezoa mitaa 10 na CUF 2 kabla ya hapo mitaa yote ilikuwa CCM
 
Mbunge wa sasa wa Ukonga Mama Mwaiposa ameshindwa kabisa kutuwakilisha wananchi wa Ukonga. Na hii ni kutokana na uwezo wake mdogo sana alionao. Kutokana na uwezo mdogo alionao hata hakustahili kuwa mgombea wa ccm lakini kwakuwa Mzee Makamba (Katibu Mkuu ccm) alikuwa na maslahi nae alifanya kila mbinu akateuliwa na baadae kushinda ubunge kwa wizi wa kura na uchakachuaji mkubwa.

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gongolamboto ndani ya Jimbo la Ukonga nae ni mzigo mwingine tulionao wananchi wa Jimbo la Ukonga.

Meya ameshindwa kabisa kusaidia hata upatikanaji wa magreda ya kukwangua barabara za Jimbo ili angalau zifae kupitika katika kipindi chote cha mwaka. Manispaa ya Ilala inamiliki mitambo mbalimbali ya ujenzi kwahiyo kilichohitajika ni maelejezo tu ili barabara zetu zichongwe, kwakuwa suala la kuziwekea lami ni jambo gumu sana kwao wote wawili Mwaiposa na Jerry!

Sasa katika maajabu ya dunia eti hawa viongozi wawili ambao kimsingi wamekuwa ni mizigo isiyobebeka katika Jimbo letu, eti nao wanataka Ubunge!Mwaiposa amepewa miaka mitano lakini performance yake ni zero halafu anataka tena!? Jerry amekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala kwa miaka mitano lakini performance yake ni zero. Ni hivi karibuni tu alitimuliwa kwenye kamati ya PAC baada ya kushindwa kuonyesha zilipo sh.12bilioni za vijana kwenye manispaa ya Ilala anayoiongoza.

Lakini jambo moja ni kuwa maccm yameendelea kuifanya kazi yetu kuwa nyepesi kwakuwa wagombea wao wote ni mizigo isiyobebeka na hao ndio wanataka kuiongoza Ukonga. This time aroundtutawanyorosa tu si Mwaiposa wala Jerry!

Kiongozi akishakuwa na kinasaba cha ccm tayari anakuwa sumu kwa wananchi na anakiwa adui wa wananchi. Inakuwaje Arusha mjini madiwani tu wananunua faster Greda halafu Ukonga ipo mjini inashindwa?

Jimboni kwetu Arumeru mashariki hatuna greda lakini mbunge amekodi greda na sasa kuna mpango wa kuomba greda ya Kwa m/kiti Kamanda Mbowe hai ili kuja kulima barabara zilizosalia.

Kwanini hili linawezekana Meru linashindikana ukonga? Jibu ni moja tu ccm imeshindwa kusaidia watu maana haina utashi huo. Kwasasa ccm hawana Upendo kwa wananchi tena Ukonga pumzisheni ccm
 
Last edited by a moderator:
mwaiposa asithubutu kugombea tena yule Mama zero kabisa hata bungeni sijawahi kumwona akiongea
 
Ni wakati wa wananchi wa Ukonga kujikomboa. Sisi huku Arusha tumeshajikomboa long time. Katika kipindi cha miaka michache ya serikali ya Chadema, Barabara zote za katikati ya mji, zimewekwa lami, barabara ya Sombetini, Majengo ya juu zimejenga kwa kiwango cha lami. Hivi sasa barabara ya Sombetini kwenda Sokoni One na Barabara ya kwenda Mwanama zinawekwa lami kwenye mwaka huu wa fedha!

Tatizo la nchi yetu ni ccm, mkiitoa mtafurahi!
 
Nilikuwa huko Juzi barabara ni mbaya mno,utafikiri sio ndani ya jiji...ukiwaona jerry slaa huwezi jua kama yeye ndio jimboni kwake hali ni mbaya hvo...au ni yale makengeza yake yanamfanya haoni?au kwa kuwa anatembelea v8 basi haoni tabu ya ubovu wa barabara?Wananchi wa ukonga kwa kauli mboja tuseme yatosha october.

Standalone

Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

Ukiwaona wamama wajawazito,vikongwe na wajasiriamali wadogo wanavyohangaika kutembea usiku wa manane kwa kukosa barabara huwezi kuamini kama hii ni DSM
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa huko Juzi barabara ni mbaya mno,utafikiri sio ndani ya jiji...ukiwaona jerry slaa huwezi jua kama yeye ndio jimboni kwake hali ni mbaya hvo...au ni yale makengeza yake yanamfanya haoni?au kwa kuwa anatembelea v8 basi haoni tabu ya ubovu wa barabara?Wananchi wa ukonga kwa kauli mboja tuseme yatosha october.

Standalone

Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

Ukiwaona wamama wajawazito,vikongwe na wajasiriamali wadogo wanavyohangaika kutembea usiku wa manane kwa kukosa barabara huwezi kuamini kama hii ni DSM
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom