victor shio
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 651
- 109
Yeyote anae mtetea Mbunge huyu lazima atuambie kafanya nn sio ngonjera za kutetea mtu kama huyu hata wana nchi wake hawamjui
Ukonga hatuitaki CCM,yaani mimi nitakuwa number mmoja kupinga kampen ya kumuondoa yule mama kama atagombea tena,Jerry nae hamna kitu,kwa hiyo CCM haina nafasi ukonga
Yeyote anae mtetea Mbunge huyu lazima atuambie kafanya nn sio ngonjera za kutetea mtu kama huyu hata wana nchi wake hawamjui
Ukonga hatuitaki CCM,yaani mimi nitakuwa number mmoja kupinga kampen ya kumuondoa yule mama kama atagombea tena,Jerry nae hamna kitu,kwa hiyo CCM haina nafasi ukonga
Ukawa wanatisha sana jimbo la ukonga kilaini.