Ukonga waapa kiama ya CCM ni October, Meya Silaa kitanzini

Ukonga waapa kiama ya CCM ni October, Meya Silaa kitanzini

Siasa hiz bhnaaa, Leo mnalaumu mbunge na madiwan wa Ukonga ambao ni Ccm ila hali inakuwa tofauti kwa Mbunge wa Ubungo kwa kero ya maji jimboni kwake.
Nyie machadema watu ajabu sana na cjui mnapata wapi ujasir wa kuwasemea wananchi wa Ukonga

Naona hujitambui.

Hapa tunazungumzia ubovu wa barabara za Ukonga na wala siyo maji Ubungo.

Kukusaidia tu jimbo la Ubungo lina madiwani wengi wa CCM na ndiyo hupanga bajeti ya manispaa.

CCM ni Janga la Kitaifa.
 
Kiongozi akishakuwa na kinasaba cha ccm tayari anakuwa sumu kwa wananchi na anakiwa adui wa wananchi. Inakuwaje Arusha mjini madiwani tu wananunua faster Greda halafu Ukonga ipo mjini inashindwa?

Jimboni kwetu Arumeru mashariki hatuna greda lakini mbunge amekodi greda na sasa kuna mpango wa kuomba greda ya Kwa m/kiti Kamanda Mbowe hai ili kuja kulima barabara zilizosalia.

Kwanini hili linawezekana Meru linashindikana ukonga? Jibu ni moja tu ccm imeshindwa kusaidia watu maana haina utashi huo. Kwasasa ccm hawana Upendo kwa wananchi tena Ukonga pumzisheni ccm

LOMAYANN

Mahali popote penye wabunge au madiwani wa Chadema ndiyo ishara ya ukombozi wa eneo husika.

Fanya utafiti kidogo uone majimbo yote ya Chadema na maeneo yenye madiwani wengi wa Chadema

CCM ni ufisadi tu kama wanachofanya Ukonga na halmashauri ya Ilala.
 
Last edited by a moderator:
Standalone

Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

Ukiwaona wamama wajawazito,vikongwe na wajasiriamali wadogo wanavyohangaika kutembea usiku wa manane kwa kukosa barabara huwezi kuamini kama hii ni DSM



Ccm ni chama hatari sana,kama kimeshindwa hata kuwachangisha Madiwani wake tsh 20,000/=,ili zitumike kukarabati ofisi za chama,nje ya ruzuku wanayopata,kama chama chenyewe kinachopata mamilioni ya ruzuku kila mwezi kimeshindwa kutumia hela hiyo kuimarisha ofisi zake,kama ccm yenye madiwani wapatao 30 kule ilala chini ya Meya Jerry Slaa wanapewa milioni 6, za ukarabati kila mwezi,milioni 3 za maendeleo ya kata zinaliwa kupitia watendaji wa Kata,sembuse kushughulikia barabara za ukonga!!

Wananchi wa ukonga,wakajifunze maeneo ambayo Madiwani wake ni chadema.

Ccm si chama ni kundi lenye mlengo wa Chukua chako Mapema.
 
Last edited by a moderator:
Ccm ni chama hatari sana,kama kimeshindwa hata kuwachangisha Madiwani wake tsh 20,000/=,ili zitumike kukarabati ofisi za chama,nje ya ruzuku wanayopata,kama chama chenyewe kinachopata mamilioni ya ruzuku kila mwezi kimeshindwa kutumia hela hiyo kuimarisha ofisi zake,kama ccm yenye madiwani wapatao 30 kule ilala chini ya Meya Jerry Slaa wanapewa milioni 6, za ukarabati kila mwezi,milioni 3 za maendeleo ya kata zinaliwa kupitia watendaji wa Kata,sembuse kushughulikia barabara za ukonga!!

Wananchi wa ukonga,wakajifunze maeneo ambayo Madiwani wake ni chadema.

Ccm si chama ni kundi lenye mlengo wa Chukua chako Mapema.

Umetoa ushauri mzuri sana.WanaUkonga wamekusikia
 
Siasa hiz bhnaaa, Leo mnalaumu mbunge na madiwan wa Ukonga ambao ni Ccm ila hali inakuwa tofauti kwa Mbunge wa Ubungo kwa kero ya maji jimboni kwake.
Nyie machadema watu ajabu sana na cjui mnapata wapi ujasir wa kuwasemea wananchi wa Ukonga


Hivi ina maana ya kwamba yanayoendelea ndani ya nchi unaona ni kheri??

Mafisadi hawana bahati chalii anga!
 
Yani nakwaambi hawa majitu hawana lao huku tunakoelekea.............................!


Hivi jiulize kama m/ kiti wa mtaa tu anaingia maskini baada ya miaka miwili ameuza maeneo ya wazi,wanauza viwanja ambavyo wananchi walionunua wako ughaibuni!
Bado nitoe hoja, Si wanaukonga tu nchi nzima tumechoka kuimgizwa kwenye migogoro ya ardhi iliyotengenezwa na maccm yenye tamaa, yanayojua mimi kwanza, wananchi baadae.

" umefika wakati,huna budi kumkosa dada yako,kaka,mama,baba,jirani,mfanyakazi mwenzako,bosi wako na mfadhili wako, kwa lengo moja tu,kulinda maslahi ya wajukuu,watoto, dada,kaka,mama,na baba wa kitanzania wa siku zijazo.Lazima maumivu tuyapate kupigania haki ili niliowataja hapo,watukumbuke siku zijazo kama jinsi Mahattam Gandhi anavyokumbukwa leo huko India"
 
Watu wa Kata ya Msongola ndio kama tupo kaburini kabisaa!!
Siipendi kabisa CCM na hawa watawala wake!!
 
Tatizo linalotukabili wananchi ni kuchagua wanasiasa na sio viongozi... wanasiasa kazi yao ni kupiga kelele tu bila kufanya cha maana, ila kiongozi hua ni msikivu na anasikiliza na kujal matatizo ya raia wake bila kujali ni chama ganii???
 
Wala nyinyi mcjali. Wapeni kura tu hao ccm.. Mbona hicho ndicho chama ambacho ni mkombozi wa mtz.. NB: vice versa is true
 
Hivi ina maana ya kwamba yanayoendelea ndani ya nchi unaona ni kheri??

Mafisadi hawana bahati chalii anga!

Mkuu wangu wapo watu waliopigwa upofu kwa visenti vya CCM.Wanapewa chumvi na sukari wakati wa uchaguzi.Akili yao iko kwapani
 
Ukonga hatuitaki CCM,yaani mimi nitakuwa number mmoja kupinga kampen ya kumuondoa yule mama kama atagombea tena,Jerry nae hamna kitu,kwa hiyo CCM haina nafasi ukonga
 
Ukonga hatuitaki CCM,yaani mimi nitakuwa number mmoja kupinga kampen ya kumuondoa yule mama kama atagombea tena,Jerry nae hamna kitu,kwa hiyo CCM haina nafasi ukonga

Nimekupenda bure Victoire
 
Last edited by a moderator:
Siasa hiz bhnaaa, Leo mnalaumu mbunge na madiwan wa Ukonga ambao ni Ccm ila hali inakuwa tofauti kwa Mbunge wa Ubungo kwa kero ya maji jimboni kwake.
Nyie machadema watu ajabu sana na cjui mnapata wapi ujasir wa kuwasemea wananchi wa Ukonga

wacha kelele wewe mwenyewe hauishi ukonga au umetumwa na lumumba wenzako
 
Siasa hiz bhnaaa, Leo mnalaumu mbunge na madiwan wa Ukonga ambao ni Ccm ila hali inakuwa tofauti kwa Mbunge wa Ubungo kwa kero ya maji jimboni kwake.
Nyie machadema watu ajabu sana na cjui mnapata wapi ujasir wa kuwasemea wananchi wa Ukonga

Lazima tumseme kwani serikali inao ongoza niya chama gani ameshidwa kusimamia kikamilivu atapigwatu ana maana yeyote Mbunge wa chama tawala jimboni kwake hakuna chochote hata bungeni atetei chochote
 
Back
Top Bottom