Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Nazungumzia body kwa ujumla, yaani mimi sizungumzii engine wala gearbox. Gari ya milioni 200 inatumia shocks za spring wakati mwenzako anatumia air suspension tena ride ina comfort!

Hizo Armoured vehicles ni special purpose vehicles, huwa hazitumiwi kama vigezo kabisa vya kufananisha na gari za kawaida.
Mkuu LC series 70 ni heavy duty sasa air suspension sio muhimu. Wao wameweka coil spring mbele na leaf spring nyuma sababu gari itafanya kazi nzito na mazingira magumu.

Hiyo air suspension nenda nayo kwenye njia korofi hata hiyo comfort ride hutoisikia zaidi ya gari kuhamahama.

Mfano ukichukua Lc pick up na L/Rover Defender pick up yenye coil spring mbele na nyuma ukazipa mzigo tani 1 kisha uingie njia mbaya mwisho wa safari mwenye L/Rover lazima ucheki bush na kuna uwezekano wa kukatika spring.
 
Wakuu tutafuteni helaaaaaa
 

Attachments

  • 1605954785823.png
    1605954785823.png
    720.9 KB · Views: 1
Pia tukumbuke kuwa hizi crown ambazo zimejaa hapa Tanzania ni za kitambo kuanzia 2005-2013..
Sasa kama matoleo yanaishia mwakani naona bado kuna muda mwingi wa kuendelea kuagiza haya Magari,nahisi bado crown zitaendelea kutumika mpaka mwaka 2030
2030 bado ni karibu, nadhani 2045 huko...Bongo mpaka sasa magari ya 1996 yapo barabarani..
 
Mkuu LC series 70 ni heavy duty sasa air suspension sio muhimu. Wao wameweka coil spring mbele na leaf spring nyuma sababu gari itafanya kazi nzito na mazingira magumu.

Hiyo air suspension nenda nayo kwenye njia korofi hata hiyo comfort ride hutoisikia zaidi ya gari kuhamahama.

Mfano ukichukua Lc pick up na L/Rover Defender pick up yenye coil spring mbele na nyuma ukazipa mzigo tani 1 kisha uingie njia mbaya mwisho wa safari mwenye L/Rover lazima ucheki bush na kuna uwezekano wa kukatika spring.
Hahah kiongozi niliwahi kua na disco 2 2009-2013 hio air suspension ilikua ni kimeo hatari,by then likua ni £250/balloon na haikai zaidi ya miezi 9 inazingua chap,ilikua ni full upuuzi.
 
LR ni Luxury brand lakini iko vizuri kwenye offroading, kwanini uende vitani na luxury brand? halafu toyota ni cheap na wana option nyingi ya SUV. Kila kitu kwenye toyota ni cheap compared to LR. Sio spea tu, yaani design na material wanazotumia ni cheap. Huwezi kufananisha na range rover.

Mfano tuchukulie RR sport na Prado. Wewe tizama interior tu ilivo, Prado iko so basic, yaani kama hujaekewa ile screen na kubadilishiwa bodi huna tofauti na anaendesha na prado old. Kwenye toyota hupati feeling kama upo kwenye luxury vehicle sasa kaa ndani ya range rover.

Nchi kuwa na gari nyingi za brand moja ni choice tu ya raia wake, mfano hapa Tanzania tunapenda toyota, ukienda kwa jirani apo Kenya unakutana na ma nissan. Hapo Australia na japani ni magomeni na kariakoo tu. Range mpaka uitoe uingereza ya leo hayo!

Toyota inapendwa kwa engine reliability, upatikanaji wa spea ni rahisi ila price ya magari yao huwezi kujistfy na comparable model ya RR.

In short toyota ni engine tu na gearbox zake ila gari hazina mvuto kabisa ukiweka na RR.
LC 200 ni mbaya kiasi kwamba vijana wetu wa veta wanaweza kudesign a better looking car.

Unatoa 300Mil kwa Land cruiser ipo poorly designed.
 
Range rover sport direct competitor wake ni prado, na range rover vogue direct competitor wake ndio hizo ulizozitaja. Hizo lexus baraka ya grill kubwa na siti za ngozi ndani hazina tofauti na dada yake toyota. Na hio ndio trend yao. Hata ukitizama hizi gari zao za pata sote ndio ivo ivo. Mfano Altezza na Is200. Tofauti nini? unapata same feeling ukiwa ndani ya is200 na Altezza hio hio. Kikubwa walichoweka ni heated seats.

Yaani for a price range inayouzwa hayo ma V8 yao, sio ku compromise on quality materials kabisa. Toyota hawaoneshi kujali sana features na comfortability, kwenye Lexus kidogo ndio wanajifanya kujikaza lakini hata hivo RR kwenye SUV anajua anafanya nini. Yaani ukitizama interior mfano kama dashboard ya Lx/toyota ipo old fashion kabisa. Yaani sioni tofauti na yale v8 old zaidi ya kuwekewa screen. Nikiitizama Lx old model na hii new model, naona tofauti ni body tu but kila kitu kingine ni kile kile cha zamani, nashindwa kuelewa kwanini wana force kuyauza ghali. The only thing Lx na toyota catches the eye, ni the size of the body

LC 200 VS BENZ GLS.
View attachment 1631885View attachment 1631886
 
Back
Top Bottom