Mtoto wa Masikini Cheti feki atakipatia wapi? Tunapohoji tuwe tunajaribu kufikiria kwanza. Kwanza Fake Certificate inategemea na Uchumi wa mtu. Maana Cheti hicho hununuliwa kwa gharama kubwa.Kwani umeambiwa miongoni mwa wenye vyeti feki watoto wa masikini hawamo?
Chief watu wengine tunatumia simu badala ya kuweka waraka wote utakaochosha, hebu leta vipengele ambavyo unaona vinafit kwenye huu uzi.[29/01 08:45: HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA...
kuhusu swala la ajira mtoa post amepotosha kairuki kasema vingineChief watu wengine tunatumia simu badala ya kuweka waraka wote utakaochosha, hebu leta vipengele ambavyo unaona vinafit kwenye huu uzi.
hotuba ipo www.utumishi.go.tzChief watu wengine tunatumia simu badala ya kuweka waraka wote utakaochosha, hebu leta vipengele ambavyo unaona vinafit kwenye huu uzi.
umesaidiaje kwenye hili wewe,umetoa tarifa takukuru au polisi?Kinacho nishangaza kuna watu hawana vyeti na wengine wana share vyeti na wengine wanvyo feki bado wapo na wanalamba salaries kama kawa sijui walikuwa wana hakiki nini maana hata siwaelewi hawa watu ,nguvu nyingi matokeo hakuna.
Huu wimbo tumeuchokaYaani hamna jipya, hizi zote ni kutafuta tu njia ya kujisitiri ili waendelee kutunyima haki zetu.Zoezi la kuwasilisha nakala za vyeti tumelifanya kama mara 3 hivi ndani ya miezi kama 2 sasa leo unakuja na mdomo maneno mengi.
Watumishi wa umma wanachowaza wanakijua wenyewe, si wote waoga kama mnavyofikiri.
Kwa nini Mtu anakuwa na Vyeti feki?
Kwa nini mtu ashangae mwenye vyeti feki anapochukuliwa hatua?
Kwa nini mwenzako ahangaike kusoma wewe ukae tu baadae yeye akae nyumbani wewe ukae kwenye kiyoyozi?
Hii imesababisha watoto wa masikini KUCHUMIA JUANI NA KULIA JUANI.
Wafukuzwe tu, hakuna namna