Mikoa inayoongoza kwa idadi ya wasomi, Mbeya ni miongoni. Katika mikoa inayoongoza kwa utajiri, Mbeya ni miongoni.Weka data mkuu.
Je unajua Mbeya ni miongoni mwa mikoa yenye maprofesa wengi? Mark Mwandosya ni mhandisi wa mawasiliano, David Homely Mwakyusa ni daktari bingwa mbobezi.
Hapo hatujawagusa wasomi wa zamani wa kwenye nyanja mbalimbali
Fanya arguments kama mtu mwenye utimamu wa akili. This is too low for JF.Mlikuwa wapi miaka yote? Majimbo yote yamejaa wabunge wa ccm harafu unaongea pumba hapa.
Nyie Machadema Huwa mnajifariji sana Kwa mihemko
Pole sana kwa kunyimwa akili na uelewa.Magu ni kisingizio kama mtakavyosingizia hata 2025 maana hata Sasa mnasema Samia ni dikteta anachowafanya ndicho Mwendazake aliwafanya.
Uchaguzi wa Vyama vingi haukuanzia Kwa Magu ,acheni ujinga na mihemko ya Twitter nyie nyumbu.
Nyie machadomo fungu lenu ni loosers tuu na ulalamishi Hadi mtaita mvi kama Babu mihogo 😆😆Fanya arguments kama mtu mwenye utimamu wa akili. This is too low for JF.
Umeanza kulaumu na kulalamika Toka upate utashi Hadi unakuta itakuwa hivyo hivyo 🤣🤣Pole sana kwa kunyimwa akili na uelewa.
Tutake radhiMbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi....
Ndio imeshawakata mpaka hapo mumeishiwa mbinu za kulazimisha hiyo Hali badala yake mnataka ccm iwaonee huruma 😁😁😁😁Uchaguzi wa nchi hiì ni wa upande mmoja. Anayegombea urais wa chama fulani ndiye ameiweka tume ya uchaguzi madarakani, hapo haki na usawa vitatoka wapi? Ndio maana tunasema lazima tupate katiba mpya
Tunaililia Tanganyika yetu kwa uchungu mkubwa mno! Tuombe Mungu inakoelekea isije ikageuka koloni la Zanzibar na Dubai.Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Wewe ni msomi toa reference, idadi ya shule (historically, tangu zama hizo); idadi ya wasomi etc, kila nikiangalia historically shule nying (secondary) na vyuo vilikuwa Kilimanjaro, Dar na IringaMikoa inayoongoza kwa idadi ya wasomi, Mbeya ni miongoni. Katika mikoa inayoongoza kwa utajiri, Mbeya ni miongoni.
Hizo ni chuki zako binafsi kwa sababu uko upande wa serikali.Kwani Kuna mkoa usio na matatizo uliyoyandika?Mkoa wa mbeya una jamii ya watu wenye misimamo tangu enzi za Nyerere km Marehemu jaji Mwakasendo,Mh Anangisye Mwalulesa,Tuntemeke Sanga na hata Dr Mwakyembe nkMbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.
Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.
Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
Wewe utakuwa na hiyo tabia, iache mara moja kabla hujaza zezeta.Mnajitekenya na kucheka wenyewe
Mbeya moto chiniiiiiWana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Mbona una hasira sana leo warabu wamekufanya kitu gani?Magu ni kisingizio kama mtakavyosingizia hata 2025 maana hata Sasa mnasema Samia ni dikteta anachowafanya ndicho Mwendazake aliwafanya.
Uchaguzi wa Vyama vingi haukuanzia Kwa Magu ,acheni ujinga na mihemko ya Twitter nyie nyumbu.
Bibi sheria ulisomea wapi?Hii safi sana, mimi nimeipenda sana.
Wakajionee jinsi mawakili wao uchwara wanavyogaragazwa kisheria.
Na wanachi wanaodanganywa danganywa watapata fundisho la kuelewa maana ya agreements na Contracts.
Hapo serikali iitumie hii fursa, ni nzuri sana.
Mbeya haina historia hiyo...Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Endeleeni tu kuhangaika na bandari isiyowahusu huku serikali ikiendelea na mipango yake.Mpango ulioanzia Mbeya ukiongozwa na Adv. Mwabukusi kuhusu kudai bandari zetu nimeupenda sana, kama pangetokea wengine wafanye jambo kama lile mikoa mingine, hakika hii nchi ingeamka asubuhi na mapema.
Hata kama patakuwepo vikundi vya wacheza ngoma kama kina Spika Tulia kujaribu kupindisha ukweli, lakini inafahamika wazi, watanganyika sio wajinga, Tulia na wenzake ndio wajinga.