Ukomboz wa taifa

Ukomboz wa taifa

Ila Watanzania tuamke ukombozi wa taifa hauj kwa maneno bali vitendo.
Direction huwa ni muhimu kuliko speed, tusije tukaenda kasi uelekeo ambao sio.

Mabadiliko hufanywa na watu ambao wapo hai, marehemu hawezi badilisha chochote. Waliokufa Oct 29 ni lost soul na hadi sasa hamna lolote walilobadilisha, yale ni matokeo ya kukosa mkakati na kufanya kwa hasira.

Vile vile watanzania tulio wengi tunaamini jukumu la ukombozi wa hii nchi ni kwa ajili ya watu fulani, so lazima kwanza awareness iwe kubwa (jambo ninaloona kiasi fulani linaenda kufanikiwa).

Hivyo lazima kuwe na mkakati wa watu kutokufa kwa wingi ule na mabadiliko yapatikane at the same time, maana adui unayepambana nae kwenye hilo swala HACHEKESHI anapotetea Ugali wake.

Kete za ukombozi zinasukumwa kiufundi sana, hadi sasa kuna sehemu ukombozi umefika, maana Serikali ya sasa imewapatia wananchi nia, sababu na uwezo wa kudai mabadiliko.

Mtazamo tu.
 
Back
Top Bottom