Uko wapi Eliza?

Stori tamu sema umenikera hapo kwenye mifuko ya mbegu za kisasa yaani unapeleka mbegu za kisasa kijijini wakati huko kuna mbegu za asili, kwa hiyo unaenda kuua mbegu za asili ili iweje? Kwamba uonekane wa mjini sana au ili upate faida nyingi bila kujali athari kwa watumiaji..
Dah huu umjini utatufikisha pabaya
HAYO MA GMO HAYAFAI
 
Mapenzi na wanawake ni vitu vya kijinga sana.

Mapenzi ni mchezo wa hila na unafiki, kama hujui kucheza na hisia za watu daily utakuwa mtu wa kulialia kwa sababu ya mapenzi.

Huyo Eliza usikute alikuwa anakuigizia tu, ulikuwa kwenye himaya yake.
 
Apo napiga msimu mmoja nasepa mkuu, haitokuwa na athari kwa wanaotaka kuendelea na zao za asili. Kwa watumiaji..... tutavumiliana tu bila kujua wataathirika kwa kiwango kipi
 
Mapenzi na wanawake ni vitu vya kijinga sana.

Mapenzi ni mchezo wa hila na unafiki, kama hujui kucheza na hisia za watu daily utakuwa mtu wa kulialia kwa sababu ya mapenzi.

Huyo Eliza usikute alikuwa anakuigizia tu, ulikuwa kwenye himaya yake.
πŸ€” ndo kusema kwamba kacheza na hisia zangu?, na iweje sim kazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…