Siamini kama kuna mtu anaweza akanywa sumu kwasababu ya mapenzi,hata nisipoona picha akiwa amemkunja lakini najua alishawahi kumkunja.Ukiendelea na huu ujinga kuna siku atakutumia picha akiwa kamkunja mkeo,, utakunywa sumu au urudi Shinyanga
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni PM hizo picha nikupe ushauri mzuriAkampe tu lakini tayari kamdhalilisha mtu wake,maana hizi picha zinasubiri maamuzi ya wajumbe hapa kikaoni
hapa mkuu haujiongelei wewe mwenyewe kweli 🤔🤔🤔Tatizo ukizirusha tu mitandaoni, kesi unayo.
Ila fanya ivi.
Mwambie apige picha inayomuonyesha Sura yake akiwa uchi..yaan hiyo picha imuonyeshe sura mpaka mashine.
Baada ya hapo mwambie adownload Telegram kwakua Ina Usalama zaidi.
Nawee pia Download alafu Kwenye Telegram ,ingia Sehem ya privacy, set namba yako asiione mtu yoyote zaidi yako..
Kisha mchane laivu huko Telegram kua wewe ni mume wa Dada huyo.
Unajua Kila kitu Toka aanze kumsumbua mkeo.
Sasa kama asipotuma 1 M , unazituma hizo picha mitandaoni wote wazione.
Linganisha vikojoleo,Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
Kama hizo picha zinamuonesha Sura yake mpige pesa😃😃Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
Kwanini nuie ndo msimushtaki jamaa kwa kuwatumia picha zenye maudhui yasiyofaa maana mtalazimika kuzionyesha picha kama ushahidi hivyo na yeye atakuwa ameshadhalilika!!!Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
Ukiona chako kidogo piga chini huyo mwanamkeHalafu baada ya hapo?
Kama akili yako imeniwaza ivo sina budi kukubali.Kwahiyo wewe unajiona una akili sana au?
DahHuyo mseti na majamaa zako yaliyopinda ukiwa umevaa kondomu tayari.Kuna watu wananunua mukundu chakavu iliyowekwa rehani kama huwo.
Mbwanda kalambwanda.
hii ikifanyika vibaya una kesi ya ulawiti kumbuka yule jamaa pale hotel ya kncu moshi.Muite home, mfanye mariam biriani apike na umpakue..