Sossi
Senior Member
- Nov 9, 2022
- 159
- 200
Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?