Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Ukizaliwa kwenye familia yenye uwezo wa chini utadharaulika sana especial na ndugu wenye Uwezo.
Na Shangazi yangu ana Uwezo na anafanya kazi Sehemu Nzuri tena taasisi kubwa tu hapa Bongo basi after nilivyomaliza Chuo nikamchek shangazi, anaitafutie kazi nikatoka Mkoani nikaenda Dar kwa Shangazi nilipofika alinipokea vizuri tukaanza kupiga story za hapa na pale akaniulza shule nilizosoma na chuo basi baada ya kumwambia nimesoma kayumba mwanzo mwisho kuanzia primary hadi A level, dah akaanza kuniponda ohh waliosoma shule za kata akili zao ni butu kingereza tu hawajui hawana Uwezo wowote Dah alinikata moto sana nikajuta hata kwenda kwake sio kwa dharau hizo, dharau kibao kisa wanae wamesoma Feza
Next day akaja Mdogo wake Shangazi nae Mambo safi basi wakati tukiwa sitting room tunapiga story Uncle akaniuliza vipi umesomea nini Nikamwambia IT akani courage huku akiniambia kazi utapata tu kikubwa uvumilivu Shangazi akaingilia kati akaanza kuponda Nanukuu “Huyu nae katoka Familia za shida shida Atapata wapi kazi “ hii kauli ilinikata moto sana nikajuta kwenda kwake cz kanidharau vya kutosha.
Kwa anzia hapo sitakagi Mazoea na ndugu yeyote na deal na mambo yangu, Japo Shangazi ananitafuta niende kwake ila kwa dharau zile siwezi hata dunia igeuke.
Sina Kazi ila Namshukuru Mungu kwa hii Pumzi anayonipa kila siku na Kuendelea Kupambana na Mambo Mengine.
Bora watu baki kuliko ndugu tena ndugu wenye kujiona wameshawin Maisha.
Na Shangazi yangu ana Uwezo na anafanya kazi Sehemu Nzuri tena taasisi kubwa tu hapa Bongo basi after nilivyomaliza Chuo nikamchek shangazi, anaitafutie kazi nikatoka Mkoani nikaenda Dar kwa Shangazi nilipofika alinipokea vizuri tukaanza kupiga story za hapa na pale akaniulza shule nilizosoma na chuo basi baada ya kumwambia nimesoma kayumba mwanzo mwisho kuanzia primary hadi A level, dah akaanza kuniponda ohh waliosoma shule za kata akili zao ni butu kingereza tu hawajui hawana Uwezo wowote Dah alinikata moto sana nikajuta hata kwenda kwake sio kwa dharau hizo, dharau kibao kisa wanae wamesoma Feza
Next day akaja Mdogo wake Shangazi nae Mambo safi basi wakati tukiwa sitting room tunapiga story Uncle akaniuliza vipi umesomea nini Nikamwambia IT akani courage huku akiniambia kazi utapata tu kikubwa uvumilivu Shangazi akaingilia kati akaanza kuponda Nanukuu “Huyu nae katoka Familia za shida shida Atapata wapi kazi “ hii kauli ilinikata moto sana nikajuta kwenda kwake cz kanidharau vya kutosha.
Kwa anzia hapo sitakagi Mazoea na ndugu yeyote na deal na mambo yangu, Japo Shangazi ananitafuta niende kwake ila kwa dharau zile siwezi hata dunia igeuke.
Sina Kazi ila Namshukuru Mungu kwa hii Pumzi anayonipa kila siku na Kuendelea Kupambana na Mambo Mengine.
Bora watu baki kuliko ndugu tena ndugu wenye kujiona wameshawin Maisha.