Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,756
- 40,930
Unatembea na mamsap kwenye Mall au mtaani na katika pitapita mnapishana na kigori ambaye ni 'fwine' kweli kweli. Umejaribu kujizuia kugeuza shingo lakini kutokana na udhaifu wako unageuza kufuatilia kama paka aliyemuona panya kwenye kingo ya jicho lake.. Unajaribu kurudisha kichwa mbele na unakutana na mamsap ambaye amefura na kabla hujasema lolote anakuzaba ZAAP!!! unaona nyota halafu anakuambia;
"kama unamtaka umfuate!" halafu huyo anaanza kuendelea....
what do you do next... ?
NB: Sijachapwa kibao namzungumzia jamaa yangu mmoja hivi (wink wink)
"kama unamtaka umfuate!" halafu huyo anaanza kuendelea....
what do you do next... ?
NB: Sijachapwa kibao namzungumzia jamaa yangu mmoja hivi (wink wink)