Habarini wakuu haya ndio mambo mengi nime experience kwa hawa dada zetu ukiwa Rafiki yao kuna mambo lazima ukubaliane nao
1.kuomba vocha
2. Kuomba viehela vidogo vidogo
3. Kuagiza vitu kama chipsi na kazalika ila hela juu yako
4. Mara nyingi utumia maneno matamu kukulainisha ukubali
5.ukiomba appointment kwa mfano outing akimwambia yuko bize ujue kinachofuatia kibomu
6.mwisho kama hutatoa msaada kwao hujue ndo unapoteza mara nyingi wako kimaslahi zaidi
1.kuomba vocha
2. Kuomba viehela vidogo vidogo
3. Kuagiza vitu kama chipsi na kazalika ila hela juu yako
4. Mara nyingi utumia maneno matamu kukulainisha ukubali
5.ukiomba appointment kwa mfano outing akimwambia yuko bize ujue kinachofuatia kibomu
6.mwisho kama hutatoa msaada kwao hujue ndo unapoteza mara nyingi wako kimaslahi zaidi