sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Wana JF nawauliza HAKI thamani yake ni tsh ngapi.................? hivi ile kesi ya bw Pesambili Mramba / Danieli Yona na Mgoja mbona kimyaaaaaaaa............? miaka inakatika jamaa wako wanakula nchi , sheria ikikamatwa na fedha masikini hawana chao.