Intrvt
Member
- May 26, 2020
- 26
- 5
Sorry for being clingy nilikuwa sijayaona maelezo initially. Nashukuru sana, kuhusu kujaza form waliniambia nitatakiwa kufanya hivyo Ila sikuweza kueleweshwa kama ni kuhusiana na PayPal kwani nilivyomsikiliza mhudumu alikuwa ameelewa kuwa ninamaanisha kupitia kadi, kutembea sana nikaona sio safe at that time Covid-19 was a jeopardy. Again, thank you so much for the clarification, be blessed 🙏.Ndugu, kwani maelezo yangu ni magumu sana hayaeleweki au?!!!