LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 458
- 1,753
Nimeishi sehemu nyingi na kujifunza vitu vingi pia
Nilikuja kugundua iko hivi ukiwa mwaminifu ukienda kukopa kitu hasa kwa wafanya biashara hautazingatiwa tofauti na mtu msumbufu wa kulipa
Hii inanitokea mimi kila wakati kuwakumbusha wafanya biashara wa madukani madeni wanayonidai
Maana hata kwenye kitabu haniandiki akiamini siwezi mzulumu
Mtu mwaminifu huishi maisha ya furaha wakati wote
Karibuni mchangie
Nilikuja kugundua iko hivi ukiwa mwaminifu ukienda kukopa kitu hasa kwa wafanya biashara hautazingatiwa tofauti na mtu msumbufu wa kulipa
Hii inanitokea mimi kila wakati kuwakumbusha wafanya biashara wa madukani madeni wanayonidai
Maana hata kwenye kitabu haniandiki akiamini siwezi mzulumu
Mtu mwaminifu huishi maisha ya furaha wakati wote
Karibuni mchangie